Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
Potelea mbali, mimi mwenyewe nimewatapeli bandari zenu kwahiyo ngoma droo.InshaAllah boss!Nitakuwa mwizi balaa.Nitakie kheri!🙏😎
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Potelea mbali, mimi mwenyewe nimewatapeli bandari zenu kwahiyo ngoma droo.InshaAllah boss!Nitakuwa mwizi balaa.Nitakie kheri!🙏😎
amejaribu kuhadaa wabunge kwenye hilo but haikusaidia na alipoteza muda mwingi kujitetea kwenye mambo mepesi huku yala mazito zaid akikosa muda kabisa wa kuyasemea kutokana na uzito wake 🐒Mbona wanasema utajiri wake mkubwa unatoka kwa marehemu kaka yake Nderitu
na hawatapotea mntapotea nyie na chadema yenuMpaka zipotee hizi jamii za akina Lucas Mwashambwa, Tlaatlaah. 😕😕 Maana hawa ndo wengi zaidi hapa JMT.
Duuh. Majirani hawana mchezo mchezo.
Tuletee na maji ya zamzam tukupatie na SGR iwe mali yako milele daimaKenya walikataa kuniuzia bandari zao, Tanzania wamenipa zakwao bure kabisa. Nawapenda sana ndugu zangu watanzania, ntawaletea tende na makobazi.
Dogo acha porojo za hapa na pale jamvin. Umeshanikera sasa acha nikutafute nikukate makofi ya hatarii. Sipendi upuzi mimi.Potelea mbali, mimi mwenyewe nimewatapeli bandari zenu kwahiyo ngoma droo.
Mkuu, hongera kwa kurahisisha mambo, maana naona unalitaka Taifa kutekeleza/kuamua masuala yake bila kufuata taratibu na sheria walizo jiwekea.Wabunge wa Ruto na Raila ndio wamehusika.
Sasa unadhani Kuna Kiongozi yeyote ambae anaweza mfitini Rais na asiondolewe?
Tanznaia haihitaji hiyo kura Kwa watu wadogo ,unapewa Maelekezo na mkubwa tuu na unajiuzulu sio kupotezeana mda Bungeni bila sababu za msingi.eg Ndugai au Lowasa.
Hapo ni sawa na kushabikia Makamu rais kutoka CUF/Zambarau apigiwe kura ya kutokuwa na imani na baraza la wawakilishi.Mpaka zipotee hizi jamii za akina Lucas Mwashambwa, Tlaatlaah. 😕😕 Maana hawa ndo wengi zaidi hapa JMT.
Kipindi watu wanashabikia gen z walipaswa kujua gharama za Yale waliyofanya ndio hiiKaibaka katiba!
Mkuu, hivyo vifungu vipo kwenye Katiba, ila sisi ni wavivu wa kusoma nyaraka .Katiba ya Tz ingekuwa kama ya Kenya tungewakomesha hawa walafi wa madaraka hapa Tz
Ntakuweka ndani kenge mweusi weweDogo acha porojo za hapa na pale jamvin. Umeshanikera sasa acha nikutafute nikukate makofi ya hatarii. Sipendi upuzi mimi.
Nyau de adriz
Africa inahitaji vijana wenye akili kama weweTuletee na maji ya zamzam tukupatie na SGR iwe mali yako milele daima
Nipatiwe na mimi PHD kama anazopewa BUSHIRI SAMIA MIMI NA SAMIA TUNA AKILI NYINGI SANA.Africa inahitaji vijana wenye akili kama wewe
KAMA BUNGE LA WENDAWAZIMU SIUNDE WEWE UKAWE MBUNGE ? ACHA UTOTOH
Huku kwetu bunge linaongozwa na watu wenye ubongo wataahira...wako kupitisha kodi za miamala,kunsifu raisi,kusema mitano tena...yani bunge la wenda wazimu
Sa100 kazitoa wapi?Nipatiwe na mimi PHD kama anazopewa BUSHIRI SAMIA MIMI NA SAMIA TUNA AKILI NYINGI SANA.
Fumbo limekushinda kungamua boss😇😇😇😇😇sasa wewe unadhani siyo akili kubwa sana kugawa SGR kwa maji ya zamzam😅😅😅Sa100 kazitoa wapi?
HahahaNtakuweka ndani kenge mweusi wewe