Yanayojiri Bungeni Kenya: Wabunge 281 wapiga kura ya kumuondoa madarakani Gachagua

Gachagia ataenda Court mtaumbuka
 
Duuh. Majirani hawana mchezo mchezo.
Wana mchezo wa chuki, ukabila na wanatumia muda mrefu kwa upumbavu huku wakigawana kodi za wananchi.

Gachagua hata akiondolewa, hakuna kitakachobadilika, ataingia fisadi tu kula hela za wakenya
 
Hiyo ndio Nairobi!
Mpango yeye anapiga suti na kula Kodi za watanganyika.
 
Sasa hapo akishinda huko mahakamani SI yanaweza kujirudia Yale Yale ya Ruto na Kenyatta? Alafu baadae unakuta Gachagwa ni president elect Kenya waachwe aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…