ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Huoni hata aibu kuzini.Huna moyo wa majuto weye hakika dunia ita stack miaka si MingiShida kanapenda kuonekanaaa ndo maana anakosa vyote......Leo hii Mimi ni sidechick wa mkubw mmoja wilayan kwetu ...ananilipia ada ya chuo na kila kitu kinachohusu maisha yangu lkn hata siku moja sijawahi kujitia kimbelembele cha kumjua hata huyo bi mkubwaaa....tunatakiwa kujua kula na vipofu
Umezini Mara ngapi??uliona aibu???? Tulia kama moja msiiiiiieeeeewwww[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]Huoni hata aibu kuzini.Huna moyo wa majuto weye hakika dunia ita stack miaka si Mingi
Hakika ww ni changupaka, angalia lkn usije rogwa ukawa kichaa...Umezini Mara ngapi??uliona aibu???? Tulia kama moja msiiiiiieeeeewwww[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]
Hahahahahah eti unapanic .....utakua kichaa wewe unampanikia mtu humfahamu?? Kweli bangi mbaya ......Hakika ww ni changupaka, angalia lkn usije rogwa ukawa kichaa...
Safi waingize pesa tuhii ni business.
. wanacheza na akili za watanzania tu..
na wanajua tunapenda umbea sana... ndio wanautengeneza umbea...
zari ni business lady, hamisa nae amefundishwa vya kufanya.. na analipwa pia, wema nae analipwa pia,
esma nae anaambiwa cha kufanya.. na mama dangote pia anaambiwa cha kufanya..
mnajua kwa nini kina kardashians ni matajiri...
wasafi wanaelekea huko kwa tv reality show
Toka lini mvuta bangi akapanic????Hahahahahah eti unapanic .....utakua kichaa wewe unampanikia mtu humfahamu?? Kweli bangi mbaya ......
Tunakumiss mamaNipo best angu mambo yamebanana tuu nachungulia chungulia ila soon ntarudi mazimaa
Hanioni bhana ....me wala simsumbui bi mkubwa hata jina lake silijui na sitaki kulijua tuuu na wala huyo Mr sijawahi kumuuliza chochote kuhusu bi mkubwa .....me nnachosubir mwisho wa mwez nione text ya nmb mobile kwamba nimepokea sh ngapi basi ....hayo mengine wamalizane wenyewe
Kuna vitu vingine ukijifanya mjuaji ndo unaambulia maumivu.....kwani angekaa kimya angepungukiwa niniHahaaa. Hamisa hawezi kujiongeza. Yeye angeendelea na u-side chick wake kimya kimya tu haya yote yasingemkuta.
Hamisa yule kichwani hamnazo.. Hayo majibu yake ya leo wala hayakuwa na umuhimu wowote. Huwezi kumtukana mama mkwe (hata kama yeye kaanza kukutukana) halafu ukategemea ndoa iwepo au mahusiano yawe mazuri. Hajafunzwa kunyamaza yule binti.Kuna vitu vingine ukijifanya mjuaji ndo unaambulia maumivu.....kwani angekaa kimya angepungukiwa nini
Hamisa yule kichwani hamnazo.. Hayo majibu yake ya leo wala hayakuwa na umuhimu wowote. Huwezi kumtukana mama mkwe (hata kama yeye kaanza kukutukana) halafu ukategemea ndoa iwepo au mahusiano yawe mazuri. Hajafunzwa kunyamaza yule binti.
Mi mama mkwe wangu alikuwa analianzisha makusudi ili umjibu aseme una mdomo/ dharau. Nilivyomuelewa tu, nikajua jinsi ya ku deal naye. Akilianzisha tu, mimi huyo nabeba kipochi, hi heels miguuni namwambia mama natoka kidogo. Nikirudi nambebea na vikopo vya castle lager au safari na nyama choma, maisha yanakuwa simple tu.
Kabisaaaa sema Kanataka kujitia kamemkamata mondi mwache ale jeuri yakeHamisa yule kichwani hamnazo.. Hayo majibu yake ya leo wala hayakuwa na umuhimu wowote. Huwezi kumtukana mama mkwe (hata kama yeye kaanza kukutukana) halafu ukategemea ndoa iwepo au mahusiano yawe mazuri. Hajafunzwa kunyamaza yule binti.
Mi mama mkwe wangu alikuwa analianzisha makusudi ili umjibu aseme una mdomo/ dharau. Nilivyomuelewa tu, nikajua jinsi ya ku deal naye. Akilianzisha tu, mimi huyo nabeba kipochi, hi heels miguuni namwambia mama natoka kidogo. Nikirudi nambebea na vikopo vya castle lager au safari na nyama choma, maisha yanakuwa simple tu.
wanawake mna iq ndogo sana ndio maana waganga na wachungaj feki wanapata sana wateja jinsia ke..
hujiulizi why hizi drama zije huku nyimbo ipo youtube day 1? wewe unaweza gombana na mumeo halafu ukamsaidie kushoot video yake??? wanawake mngekuwa na akili za kufikiri zaidi... tungeendelea sana sabab nyingi ndio mama zetu ila hamfikiriii... na hamjui unganisha dots
hii ni biashara. hamisa anaplay role yake kama anachoelezwa cha kufanya.. esma pia.. mama diamond pia.. zari pia... na kila mtu...
hela inatafutwa kwa akili...
hakuna mtu mpuuzi hapo.. sio diamond, sio wema, sio hamisa, sio zari, sio esma.. wote wanajua wanachofanya na kuna mwanaume mastermind juu yao... anaetengeneza scripts...
Sasa IQ yako kubwa inakusiadia nini iwapo hufahamu hata umuhimu wa matumizi ya herufi kubwa na ndogo kwenye sentensi.
Mondi mwenyewe shwaini dizaini mswahili.Hakuna wife material hata mmoja hapo.
Ningekuwa mimi ndio domondi ningepiga chini wote na kwenda kuoa msichana ambaye kila mtu asingeamini.
Halafu it's time now domondi akuwe na abadiliki. Haingii akilini hata kidogo mtoto wa kiume ukawaruhusu mama na dada zako wakaingilia mambo yako ya chumbani, unless your mama's boy .