Well it’s because you are ambitious and have your pre determined election results in your head.
Your wishes might be granted in the end; but then it won’t be because of science but purely luck at this point; given the ‘exit poll’.
It’s the reason I wished you luck, not that I care as far as global political implications are concerned.
Trump anashinda mdosi lazima arudi akakate vitunguu jikoni hana jipya yeye na Biden.
Tena huyo mdosi atachapwa sio chini ya electrol votes 324
US wanamrudisha Trump sio kama wanampenda lakini wameona siasa ya Biden ni Hatari kwao. Hicho kimama hakiwezi kushinda sababu ni partner in crime.Ni 91 kwa 210
Ni balaa, na huku Tanzania sijui itakuwaje. Tatizo la sera za democratic ni kutoa mimba hilo ni shida sana. Ingawa under Trump hakuna jipya ila dunia bado haiamini ktk wanawakeUS wanamrudisha Trump sio kama wanampenda lakini wameona siasa ya Biden ni Hatari kwao. Hicho kimama hakiwezi kushinda sababu ni partner in crime.
Wabongo si unawajua .aneno mengi kuliko hata CNN 😄Kuna Wabongo wanaishi USA walijifanya humu wanaijua USA na kutuhakikishia Harris anashinda.
Kwa Hiki kinachoendelea Hapa kûna aibu kûbwa inaenda kutokea kama Hali itaendelea hivi.
Mpaka Sasa wazungu àmbao tunaambiwa Wana gender balance na wanasapoti Wanawake lakini ndîo hawajamchagua Kamala.
Ni balaa, na huku Tanzania sijui itakuwaje. Tatizo la sera za democratic ni kutoa mimba hilo ni shida sana. Ingawa under Trump hakuna jipya ila dunia bado haiamini ktk wanawake
Wamarekani wengi wa kawaida ukiongea nao bila kujali chama huwa hawako tayari kabisa kuwa na rais mwanamke.Kuna Wabongo wanaishi USA walijifanya humu wanaijua USA na kutuhakikishia Harris anashinda.
Kwa Hiki kinachoendelea Hapa kûna aibu kûbwa inaenda kutokea kama Hali itaendelea hivi.
Mpaka Sasa wazungu àmbao tunaambiwa Wana gender balance na wanasapoti Wanawake lakini ndîo hawajamchagua Kamala.
Bado Matikeo Ya Jumla kutangazwaMpaka saizi nani mshindi?????
Maana tuliambiwa tukiamka tu matokeo teyari.
Ila mpaka saizi sioni mshindi wa jumla.
Na idadi wanawake ndio waliopiga Kura kwa wingi ukilinganisha na wanaume ..hahahaha!Kuna Wabongo wanaishi USA walijifanya humu wanaijua USA na kutuhakikishia Harris anashinda.
Kwa Hiki kinachoendelea Hapa kûna aibu kûbwa inaenda kutokea kama Hali itaendelea hivi.
Mpaka Sasa wazungu àmbao tunaambiwa Wana gender balance na wanasapoti Wanawake lakini ndîo hawajamchagua Kamala.
Kamala sio mweusi, hana asili uouote na Africa.USA haiwezi kuchagua Rais Mwanamke tena mweusi.
Hiyo haiwezekani.
Sana ni ukweli usiopingika Trump siyo kiongozi anayestahili kuongoza Gen Z.Kwa mara ya pili Marekani inathibitishia Dunia kuwa haiamini katika Mwanamke
Maana huyo Trump mwenyewe siô kihivyo
ila nimeshangaa sana. na lait ingetokeq africa sijui kina mmm sa hiz wangekua washajaza twiter.kule hakuna haja ya kadi ya mpiga kura wala kitambulisho na wao pia wameshangaa ukifika wanakulliza tu unakaa wap unapiga. je wanaharakat hii imekaajeMpaka saizi nani mshindi?????
Maana tuliambiwa tukiamka tu matokeo teyari.
Ila mpaka saizi sioni mshindi wa jumla.
Kidosi ndo nani???Tupo 210 kidosi kipo 113
Sana ni ukweli usiopingika Trump siyo kiongozi anayestahili kuongoza Gen Z.