Yanayojiri katika Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?

Yanayojiri katika Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?

Nani atashinda uchaguzi USA November 5, 2024?

  • Republicans (Donald Trump)

  • Democrats (Kamala Harris)


Results are only viewable after voting.
Salaleh yaani umeniweka kwenye kundi la watu wa hovyo. Ngoja nilale kwanza huku nikitafakari kauli yako ya madharau.

Any way all the best, kwasasa.

Hapana ndugu nilikuita ulione hilo nikiamini nilikuasa watu humu si vyema kuwadharau au kujifanya mjuaji unilaterally.

Kwamba nilitambua umenisoma ndiyo maana nikaona Kwa vile alikuhusisha, kistaarabu niweke msisitizo wa kukuonyesha niliyokuwa nayasema.

Hapo nimempa sindano ya kwanza ningali na store zima at his disposal ikimpendeza.
 
Unaonekana kuwa na machungu sana na huyu mama.

Nani asiyejua ya electoral colleges labda mbumbumbu asiyemo jf humu. Hayo eleza wanao wa chekechea nyumbani.

Msingi wa hoja:

"Nyota njema huonekana asubuhi na tayari keshaanza kuchezea kichapo na alipo kimuhe muhe kinamhusu!"

Kwa hakika acha apigwe:

Ama kwa hakika kulia na kucheka yote kwa zamu!

Nisiache kukwambia acha ujuaji ndugu.

"Anonymity uionayo humu usipoielewa unaweza kujidanya kushauri wakuu wako!"
Yanini mashambulizi yote hayo kwa mwenzako?
Kisa Trump?
Dah! 😁😄🤣!
 
Yanini mashambulizi yote hayo kwa mwenzako?
Kisa Trump?
Dah! 😁😄🤣!

Rejea ilikotoka haya yalikuwa ni majibu tu ndugu Kwa mujibu wa Newton's law third law of motion.

Kama anavyokuja ndivyo dozi atakayopata.

Au nasema uongo ndugu yangu.
 

Screenshot_20241106_062128_Chrome.jpg
 
Dunia itaongozwaje na Mwanamke kwanza,itakua Mwisho wetu
Ni suala la mda tuu ,Mwanamke atashika kijiti.Hawajawahi kugombea kabla huko USA na Sasa ni mara 2 mfululizo so tegemea kabla hujafa atashika usukani na hutofanya chochote kama ilivyo hapa Tanzania licha ya mapovu hakuna ulichoweza kufanya 😂😂

Uingereza wamewahi shika Hadi Pakistan Kwa Waislamu.Suala la wanawake kupata Nguvu haliepukiki,mara nyingi Huwa nasema your dick size does not add your IQ 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DB4LPzsIGNM/?igsh=YXltcXQxdmFnNWk=

Huyo unaemuona hapa uchaguzi ujao atagombea nafasi ya Waziri Mkuu wa Uingereza kama Kiongozi Mkuu wa Conservative.
 
Sio poa
 

Attachments

  • Screenshot_20241106_062909_Opera Mini.jpg
    Screenshot_20241106_062909_Opera Mini.jpg
    284.9 KB · Views: 2
Harris aende kumhudumia mumewe nyumbani na kulea watoto

Uongozi wa Dunia amuachie Mwamba Trump apambane
 
Back
Top Bottom