Yanayojiri katika Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?

Yanayojiri katika Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?

Nani atashinda uchaguzi USA November 5, 2024?

  • Republicans (Donald Trump)

  • Democrats (Kamala Harris)


Results are only viewable after voting.
Hatujisikii Aibu matokeo ya Uraisa Marekani yanapatikana Hadi Instagram na kila mtu hata wa kijijini unaweza kutoa maoni na muelekeo
 
Well it’s because you are ambitious and have pre determined election results in your head.

Your wishes might granted, it won’t be because of science but purely luck at this point; given the ‘exit poll’.
Achana na islam anti-israel brainwashed terrorist huyo atakusumbua ..ana mihemko.
 
Trump ashinde bana, wavaa makobaz wametusumbua sana....
 
Huyo bibi mara leo awe Black, Kesho awe muhindi, Kesho kutwa arudi white!, Akalime matembele sasa!
 
Udini tuu mpuuzi wewe, results ni as expected, huwezi kutegemea Kamara ashinde West Virginia au Trump ashinde New York, matokeo bado mpaka uanze kuona Pa, Michigan or Wisconsin..tulia

Dini unazisoma wapi mburula wewe?
 
Achana na islam anti-israel brainwashed terrorist huyo atakusumbua ..ana mihemko.

Kutokumwunga mkono mwisiraeli hakumfanyi mtu kuwa mwislamu au na hata kuwa terrorist.

Shule yako tafadhali.

Bila shaka utakuwa jinga kweli kweli na ulipo uko brainwashed chapa chapa, umeaminishwa Israel ni taifa teule lenye haki ya kukufanya lolote!

Mayor Quimby aina ya yale makapuku yenye kudhani yana ujuzi wa ziada jf humu, ndiyo kama haya sasa.

Bure kabisa!
 
Kutokumwunga mkono mwisiraeli hakumfanyi mtu kuwa mwislamu au na hata kuwa terrorist.

Shule yako tafadhali.

Bila shaka utakuwa jinga kweli kweli na ulipo uko brainwashed chapa chapa, umeaminishwa Israel ni taifa teule lenye haki ya kukufanya lolote.

Mayor Quimby aina ya yale makapuku sasa yenye kudhani yana ujuzi wa ziada jf humu, ndiyo kama haya sasa.

Bure kabisa!
Salaleh yaani umeniweka kwenye kundi la watu wa hovyo. Ngoja nilale kwanza huku nikitafakari kauli yako ya madharau.

Any way all the best, kwasasa.
 
Mpaka Sasa Trump lina 154 Kamaala ana 30 Trump anahitaji 116 tu atangazwe Hii imeeeendaaa Hiii imeenda kabisaaa.


Kamala angetuletea Vita ya Dunia hana mtoto hajui uchungu wa kuzaa aende kijijini huko asitusumbue..
 
Mpaka Sasa Trump lina 154 Kamaala ana 30 Trump anahitaji 116 tu atangazwe Hii imeeeendaaa Hiii imeenda kabisaaa.


Kamala angetuletea Vita ya Dunia hana mtoto hajui uchungu wa kuzaa aende kijijini huko asitusumbue..

Dalili njema huonekana asubuhi.

Alipo fulu kimuhe muhe!
 
Mimi ni shabiki wa Trump lialia, lkn Kamala anashinda na ndio mwisho wa dola ya Marekani

Marekani kwa miaka ya hivi karibuni imekuwa very very weak.

China ndio superpower ajaye.

Ray Dalio aliwahi kutabiri anguko la Marekani na kwenye kitabu chake cha "New World Order" alionesha namna trend za hizi super powers zinavyokua na kupotea. Marekani ipo mwishoni mwake, na kwa super powers wengi wakifikia hapo basi raia zake wanakuwa wameendekeza ujinga, zinaa, uhuni, na hao ndio watapigia kura mtu asie na uwezo na kumuweka madarakani.

Trump atashindwa sio kwamba hana uwezo, lkn ni kwamba USA does no longer deserve a president like him.

Goodbye America, Welcome China.

Pia soma:
LIVE - Yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?
Much as i would love to witness the collapse of USA but on this fron Trump is winning!!
 
Back
Top Bottom