Yanayojiri katika Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?

Yanayojiri katika Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?

Nani atashinda uchaguzi USA November 5, 2024?

  • Republicans (Donald Trump)

  • Democrats (Kamala Harris)


Results are only viewable after voting.
Unampenda Trump kwasababu anamtaja Yesu kristo kila pahala

Wengi wanashangilia kwasababu hiyo

Hawa kina oboma Ni maluminat wanapinga ukrsto
Yes tena nilimuombea Kwa Mungu ashinde
Kwa sbb watu hawatakiwi kuongozwa na illuminat ila Mungu aliyewaumba!

Hata ingekuwa ww usingekubali mtu Ambae anapinga uwepo wa Mungu Kwa matendo yao

Tumechoka na sera za abortion,ushoga
Tupumzishwe
 
Mjinga mwingine huyu
Mjinga ni wewe,trump aliwaupset sana Wana Texas ambapo ndo alikua na strong hold ya republican, na Wana electrol vote 40, kwa wajanja tulishajua akitoboa hapo it's all over maana Kamala hakua na ujanja kwenye swing states zote


Pumbavu
 
After he survived that attempt on his life, I laid low. I knew right there no one was going to stop him.
Ila Mangi we si ulisema baada ya Biden kujitoa, kwamba sasa Trump atageuziwa kibao kwenye suala la umri? 🤣

And I told you age wasn’t the issue with Trump because our eyes aren’t lying to us.

The problem with Biden wasn’t age. The problem with him was his diminished cognitive abilities.
 
Ila Mangi we si ulisema baada ya Biden kujitoa, kwamba sasa Trump atageuziwa kibao kwenye suala la umri? 🤣

And I told you age wasn’t the issue with Trump because our eyes aren’t lying to us.

The problem with Biden wasn’t age. The problem with him was his diminished cognitive abilities.
What else can I say bro?

You were right.
 
Mwanamke kutawala sio tatizo tatizo anaweza kutawala kutokana na qualification yake haruhusiwi tu kusalisha. Kwetu Waislam hakuna sehemu kwenye Qur'an inaongelea kuwa haruhusiwi kuwa kiongozi wa nchi. Qur’an is silent on this particular point. The silence of the Qur'an on this crucial issue means that it has been left to the Muslim community to decide. Kuhusu kwa wafuasi wa Paulo sijui.

Huyo Kamala asingeweza kutawala vichaa wa US, hivi nyie mnawaona wamarekani wako sawa? We huoni Wayahudi wamewashika pabaya sana hawafurukuti wote wana madeni na hizo bank ni za Wayahudi ndio mana unaona Rais wa US lazima akagonoke kwa Wayahudi pale AIPAC.
Daaah!!!! Mada zenu hazinihusu kihivyo bt wht i learnt n kwamba ur thinking capacity is very low…

Na hizo chuki zako kwa USA kisa anawasaidia wahasimu wako bac na ww katafute misaada huku UAE….

Ndugu zako wabinafsi, wameufyata mkia huku wanachungulia kwa mbali waislamu wenzao wakichenyetwa na myaudi
 
Daaah!!!! Mada zenu hazinihusu kihivyo bt wht i learnt n kwamba ur thinking capacity is very low…

Na hizo chuki zako kwa USA kisa anawasaidia wahasimu wako bac na ww katafute misaada huku UAE….

Ndugu zako wabinafsi, wameufya mkia huku wanachungulia kwa mbali waislamu wenzao wakichenyetwa na myaudi
We mwenye capacity ya kufikiria umeshindwa kumjua Yesu ni binadamu ukamfananisha na Mungu, we ndio una akili 😄 Hizo kelele za kuwa mnashinda vita kwa kuvunja majumba na kufanya genocide ndio inaonyesha uwezo wa akili zako sawa sawa 😆 😂
 
Unampenda Trump kwasababu anamtaja Yesu kristo kila pahala

Wengi wanashangilia kwasababu hiyo

Hawa kina oboma Ni maluminat wanapinga ukrsto
Umesikia ss alichoongea kuhusuana na hizo Sheria za kipuuzi za mashoga na kufanya surgery za watt Kwa habari ya gender zao mkuu?
Tulihitaji mtu wa hivi Kwa ss
 
Mjinga ni wewe,trump aliwaupset sana Wana Texas ambapo ndo alikua na strong hold ya republican, na Wana electrol vote 40, kwa wajanja tulishajua akitoboa hapo it's all over maana Kamala hakua na ujanja kwenye swing states zote


Pumbavu
Texas ni deeply conservative state, huko Democrats inajulikana winning ni zero chance, acha ujinga
 
We mwenye capacity ya kufikiria umeshindwa kumjua Yesu ni binadamu ukamfananisha na Mungu, we ndio una akili 😄 Hizo kelele za kuwa mnashinda vita kwa kuvunja majumba na kufanya genocide ndio inaonyesha uwezo wa akili zako sawa sawa 😆 😂
Wapi nimesema yesu ni Mungu mzee?

Mbona kama umelewa shisha? Ss hiyo genocide mmeiona leo sio?

Ila ile october 7 mlipovunja mpaka wa israel na kufanya mauaji kwa wasichana wadogo wasio na hatia na wengine kuwateka mpaka leo hii hawajulikani walipo sio genocide?

Kila mkilala mnamuota netanyau sio 🤣, jamaa anapiga kote kote sio lebanon, sio palestina, sio iraq kote fimbo tuu.

Na hao vibarakashia wenzenu wa UAE wakijaribu kutia pua nao fimbo tuu, mpaka tuwaondoe kwny uso wa dunia….

Tayana-wog akirud niite
 
Wapi nimesema yesu ni Mungu mzee?

Mbona kama umelewa shisha? Ss hiyo genocide mmeiona leo sio?

Ila ile october 7 mlipovunja mpaka wa israel na kufanya mauaji kwa wasichana wadogo wasio na hatia na wengine kuwateka mpaka leo hii hawajulikani walipo sio genocide?

Kila mkilala mnamuota netanyau sio 🤣, jamaa anapiga kote kote sio lebanon, sio palestina, sio iraq kote fimbo tuu.

Na hao vibarakashia wenzenu wa UAE wakijaribu kutia pua nao fimbo tuu, mpaka tuwaondoe kwny uso wa dunia….

Tayana-wog akirud niite
We kichaa unadhani wote walevi wa shisha? Leta dalili moja ya Hamasi aliuwa watoto Israel au wanawake au civilian hio tarehe 7th October. Huna dalili utaishia kuongea bila dalili ndio mana nakuambia wewe hauko sawa ungekuwa uko sawa usinge sema Yesu ni Mungu.
 
Back
Top Bottom