Yanayojiri katika Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?

Yanayojiri katika Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?

Nani atashinda uchaguzi USA November 5, 2024?

  • Republicans (Donald Trump)

  • Democrats (Kamala Harris)


Results are only viewable after voting.
Wamarekani hawataki kutawaliwa na mwanamke.. acha sisi tuendelee kuugulia maumivu yanayosababishwa na Chura Kiziwi wa Kizimkazi Republic.
KAMALA AKUTANE NA PUTIN AMETUPIA VODKA ZAKE MKWARA MMOJA ATAJIFUNGIA CHUMBAN
 
Hii ni rahisi sana
Trump atashinda huu uchaguzi
Reasons:-
Raia wa marekani na CIA haiwezi kurisk kufanya majaribio,katika kipindi cha miaka 300 wamuweke rais mwanamke,tena black american.......hii haitatokea
Acha theory zako za kutunga uchaguzi wa marekani unaamullwa na wananchi kwa kupiga kura hakuna figisu kama huku Tanzania
 
Ukraine kabla ya mgogoro wake na Russia kwa military strength ilikuwa inashika namba 3 mara nyengine 4.

Tutumie logic kufikiri, kwa silaha alizokuwa nazo kumzuia Russia kutoingia maeneo yake alishindwa wapi?
Huyu anaelewa kila kitu, ila ndio hataki kukubali
 
Trump kidogo sio kichaa kama wengine lakini tatizo ni moja tu wote ni ma puppet wa kiyahudi.
 
Back
Top Bottom