Dunia ilishaona madudu pindi mwanamke akishika madaraka kama sisi Tanzania tunavyojionea madudu.Ni suala la muda, akija mwenye sera nzuri watamchagua tu
Sio rahisi hivyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dunia ilishaona madudu pindi mwanamke akishika madaraka kama sisi Tanzania tunavyojionea madudu.Ni suala la muda, akija mwenye sera nzuri watamchagua tu
50/50Dunia ilishaona madudu pindi mwanamke akishika madaraka kama sisi Tanzania tunavyojionea madudu.
Sio rahisi hivyo.
Loh! mbona mapema sana ushaanza kulalamaTrump kidogo sio kichaa kama wengine lakini tatizo ni moja tu wote ni ma puppet wa kiyahudi.
Mpaka wewe ulitaka Trumpet ashinde ?....Trump kidogo sio kichaa kama wengine lakini tatizo ni moja tu wote ni ma puppet wa kiyahudi.
It will be an exciting presidential term.Mangi, ameshashinda, Alaska (3) ni red.
That was thenUko dunia gani mwenzetu?
Mimi nilitaka Trump ashinde sababu ni faida kwa wananchi wa US, kuhusu Palestine hao wanaume hawamtegemei mtu , isipokuwa Allah peke yake. Toka lini Hamasi alimtegemea Rais wa USA labda Israel.Mpaka wewe ulitaka Trumpet ashinde ?....
Ushindi wa Kamala ndio ingekuwa nafuu kubwa kwa Wapalestina.
Marekani napo wamewachoka liberals...It will an exciting presidential term.
Nadhani hili jukwaa la International litakuwa busy kweli kweli😀
Asante kumbe unaelewa. Ni utabiri ambao utatimia kuna namna huyo Mama ataingia tu as much as we don't like it.Naelewa sn hiyo antichrist ajenda na beast spirit hata watt wa Mungu sio kwamba wamekaa tu ,wanaelewa pia,nao wanaomba Mungu!
Ndo nakwambia tena hashindi, km Mungu aishivyo !
Unasemaje Mkuu?Atashinda njaa🤣
Hajashinda njaa mkuu.Unasemaje Mkuu?
Naunga mkono ni suala la muda tu hata kama sio Hillary wala kamala ila ipo tu dayAsante kumbe unaelewa. Ni utabiri ambao utatimia kuna namna huyo Mama ataingia tu as much as we don't like it.
Mnao wengi tuu, uneducated and ignorant mnapenda madikteta, Trump is more like African dictators, uzuri US kuna check and balance so kuna limit ya upuuzi wakeNi msiba kweli kweli nchi hii, Tunawahitaji kina Trump wengi zaid mpaka huku Africa wanyooshe hizi nchi za kitumwa.
Hakuna uchaguzi, wizi mtupuNyie wapiga kura wenyewe hamjitokezi.
Then mnategemea chaguzi za raha!!
🤣🤣🤣Hapana Ninayo helaAu uje kigamboni nikununulie 😎
Hataingia uelewa navyokwambia hataingiaAsante kumbe unaelewa. Ni utabiri ambao utatimia kuna namna huyo Mama ataingia tu as much as we don't like it.
Yo, Mangi, you ok?It will be an exciting presidential term.
Nadhani hili jukwaa la International litakuwa busy kweli kweli😀
Mwanamke kutawala sio tatizo tatizo anaweza kutawala kutokana na qualification yake haruhusiwi tu kusalisha. Kwetu Waislam hakuna sehemu kwenye Qur'an inaongelea kuwa haruhusiwi kuwa kiongozi wa nchi. Qur’an is silent on this particular point. The silence of the Qur'an on this crucial issue means that it has been left to the Muslim community to decide. Kuhusu kwa wafuasi wa Paulo sijui.Mwanaume unamchaguaje kamala?