Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,711
- 3,279
Wazee wa takataka😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Trump anachua nchi na republicans wanachua seneti,sasa trump anaweza kupitisha sera atakazo
Poleni dada yenu kashindwaWazee wa takataka
Nafuu ipi mkuu.... kumbuka lengo la Biden ilikuwa kuizuia Urusi isishinde na kujitanua zaidi....kwa Sasa kuna uwezekano Ukraine ikalazimishwa kukubali kuachia sehemu ya ardhi yake Ili amani iwepo.Kwa upande mwengine ni faida kwa Ukraine kulingana na kwa muktadha uliyouandika.
Kwa maana nyengine Ukraine ingemegwa zaidi kuliko ilivyo sasa!
Ijapokuwa ni faida kwa Russia ila ni nafuu kwa Ukraine.
Tumia FOX NEWSAljazeera wao bado wapo nyuma
Neno la Mungu ni wewe uamue kulifuata ama vinginevyo, halibagui taifa, mtu wala kabilaUnataka kusema taifa la USA limetajwa kwenye bibilia yenu
Kwa nini?Mtu aliye na furaha kuliko wote ni Joe Biden 🤣.
Mwenzao aliambiwa na shetani wake aendelee kuwa Raisi, sa wamemtoa na mwenzake katoka mashetani wote nje.Mtu aliye na furaha kuliko wote ni Joe Biden 🤣.
Inauma hadi basi, bora aongoze hata kipofu mwanaume ila sio mwanamkeIla vitu vingine sio poa yaani nchi inaongozwa na mtu amevaa SHANGA kiunoni?Hii sio sawa
Sasa wameweza kumzuia?Nafuu ipi mkuu.... kumbuka lengo la Biden ilikuwa kuizuia Urusi isishinde na kujitanua zaidi....kwa Sasa kuna uwezekano Ukraine ikalazimishwa kukubali kuachia sehemu ya ardhi yake Ili amani iwepo.
Joe Biden hakujitoa kwa hiari yake.Kwa nini?
😃😃Mmh
Mbona hii bado
Tatizo walichelewa kumpa silaha alizohitaji na baadae walimpa kidogo Sana kwa kuchelewa.Sasa wameweza kumzuia?
Kama tangu awali walimsaidia vya kutosha na bado 20%+ ya nchi ilikwenda?
Kabla ya mgogoro wake na Russia, Ukraine ilikuwa na kiwango gani cha silaha? Na kijeshi barani ulaya ilikuwa ya ngapi?Tatizo walichelewa kumpa silaha alizohitaji na baadae walimpa kidogo Sana kwa kuchelewa.
Mpaka sasa kuna silaha wamegoma kumpa na zingine wamempa kwa masharti.