Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
🤣Ni mpaka ashinde...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣Ni mpaka ashinde...
Trump hafai lakini kashinda sababu hicho kimama kina lana kama Biden, kwa hio ni bora Trump kuliko hao wenye lana.Africa inarudishiwa ukoloni
Kwa upande mwengine ni faida kwa Ukraine kulingana na kwa muktadha uliyouandika.Faida kwa Russia maana anakalia eneo kubwa la Ukraine, isitoshe Ulaya pekee haiwezi kuisaidia Ukraine kuendeleza vita.
Ila kule Gaza naogopa Wapalestina wasije wakakandamizwa zaidi.
Wisconsin kwa Trump 🤣.
Tuanze kuandaa Choma na BIA sio?Hata Trump aje na uatawala wa nguvu na unyanyasaji mimi nipo na yeye tu, kutawaliwa na mwanamke ni status mbaya sana kwenye Jamie
Trump oyeeeeehh
I'm very happy jmn unafikiri Trump ananijua
🎺🎺🎺💪
Daa siasa ya Marekani nzuri sana.Uzuri wa Trump ni mkweli hata kama hafai pia 😄
Naam, simpingi kwa lolote huyo baba kulilo kuongozwa na mwanamke
Niliwambia humu Georgia, Wisconsin na Arizona zote zinaenda kwa Trump afu Michigani, Pennsylvania pia baniani aende Mirembe kitanda kinamsubiri.Wisconsin kwa Trump 🤣.
Hii ilikuwa iko wazi kabisa tangu awali katika kipindi chote cha campaignTrump anachua nchi na republicans wanachua seneti,sasa trump anaweza kupitisha sera atakazo
Hahahhaha nimecheka mieIla vitu vingine sio poa yaani nchi inaongozwa na mtu amevaa SHANGA kiunoni?Hii sio sawa
FOX NEWSHii source gani Iko updated sana ?