Yanayojiri katika Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?

Yanayojiri katika Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?

Nani atashinda uchaguzi USA November 5, 2024?

  • Republicans (Donald Trump)

  • Democrats (Kamala Harris)


Results are only viewable after voting.
Wanamchelewesha tu kumtangaza kisha shinda na pia huko Wisconsin kuna EC 10 zitakuwa 246+10=256 Yuko mbioni pia kushinda na huko Michigan mpaa mda hu anaongoza lakini bado sana kujuwa mshindi hapo kuna 15 EC sidhani hicho kibaniani kitashinda. Akishinda Michigan wachana na Arizona pia anaongoza atakuwa ana 256+15=271 Yule baniani hana chance ya kushinda na Arizona 11 EC itakuwa 282 na bado kwingine huyo banianiani ataishia kwenye chini ya 248 EC haendi zaidi ya hapo.
Dah!...Wale Waarabu, waislamu na Wapalestina wa Michigan wameamua kuiadhibu Democrat ila sidhani kama Trump atakuwa nafuu kwa Wapalestina.
 
Joto La Nani ataenda Kutangazwa Kuwa Rais Mpya Wa Taifa La Marekani linaendelea kuwa kubwa , huku Zoezi la Kuhesabu Kura likiendelea na Vyombo Vya Habari Duniani vikiendelea kuchapisha Matokeo ya Kinyang’anyiro hicho kadri yanavyoendelea kutolewa .

Mpaka hivi sasa Donald Trump na Chama Chake Cha Republican wanaendelea kuongoza kwenye Kura sa Urais, Seneti na Magavana dhidi ya Mpinzani Wake Kamala Harris . Kwenye Kinyang’anyiro Cha Urais Trump mpaka hivi sasa amepata 'Popular Votes ‘ 51, 466, 625 ikiwa ni 52.3% Dhidi ya 45, 502 , 228 alizopata Kamala Harris na kumuacha kwa Tofauti ya Kura 5,964,397 ( 46.3%) .

View attachment 3144844View attachment 3144845

View attachment 3144847

View attachment 3144848

View attachment 3144849

View attachment 3144850

Je, Trump atashinda na Kutangazwa Rais Mpya wa Taifa Hilo ?
Mwache apite trumpo, atunyoshe waafrika
 
China anataka Kamala ashinde, Russia anataka Trump ashinde...

Raia wote wa bara la Africa wenye akili timanu tunataka Trump ashinde..
Ndio maana tunambiwa siasa ni mchezo wa kijinga,Trump na republican wanaona China ni threat kubwa kwa USA kuliko Russia hasa kibiashara huku democratic wenyewe huwa wana deal sana na Russia kuliko China.sehemu pekee ambapo huwa wapo pamoja ni kwa kuilinda Israel.

By the way hawa wazungu wa USA wanacheza na akili za watu,kwa vyovyote vile wenyewewe lengo ni kupambania Taifa Lao,angalia alivyoingia democratic wamedidimiza uchumi wa UE na kuwafanya wawe wategemezi kwa USA hapo wamejipanga aingie Trump tena awapunguze kasi ya ukuaji wa uchumi wa China -lengo Lao moja tu waendelee kuwa superior Wamerekeni ni washenzi sana.
 
safi sana trump mazee dah , tuko vizurii...wabeba boksi wanarudishwa nchini kwa wingiii...
 
Unajulikana na akili yako unafikiri Trump atakuwa upande wa kobazi, subiri maumivu zaidi

Umeandika kwa uchungu sana ndugu. Bila shaka kwa kudhani Yesu alivaa raizoni.

Hata hivyo wapi uliposoma nikiandika kuhusu dini au hata kushabikia viatu?

Kamala Harris alikumbuka shuka kukiwa kumekucha!

Bila shaka utatambua huyu bible vita zimemgharimu na akwendree akamalizie hizo vita nyumbani kwake!
 
Back
Top Bottom