Ni lazima ASHINDE, trump ndio Rais na Ukraine War is going to end. Ukraine was a very beautiful country , but kwa ufisad wa hawa wahun, dam zinavuja sanaNawaza huyo baba akishinda atalipaje visasi kwa aliyopitia??
Dah!...Wale Waarabu, waislamu na Wapalestina wa Michigan wameamua kuiadhibu Democrat ila sidhani kama Trump atakuwa nafuu kwa Wapalestina.Wanamchelewesha tu kumtangaza kisha shinda na pia huko Wisconsin kuna EC 10 zitakuwa 246+10=256 Yuko mbioni pia kushinda na huko Michigan mpaa mda hu anaongoza lakini bado sana kujuwa mshindi hapo kuna 15 EC sidhani hicho kibaniani kitashinda. Akishinda Michigan wachana na Arizona pia anaongoza atakuwa ana 256+15=271 Yule baniani hana chance ya kushinda na Arizona 11 EC itakuwa 282 na bado kwingine huyo banianiani ataishia kwenye chini ya 248 EC haendi zaidi ya hapo.
Kwa jicho lingine tu kujua rais ni mwanaume inamaana fulani kwenye kubalance gender.raisi ananguvu gani ujerumani?
Urusi walimtaka Trump Ili huko Ukraine wapate nafuu.Kwamba kuna mtu alikuwa anataka Amala ashinde? Watu hawataki vita wameshachoka
Mwache apite trumpo, atunyoshe waafrikaJoto La Nani ataenda Kutangazwa Kuwa Rais Mpya Wa Taifa La Marekani linaendelea kuwa kubwa , huku Zoezi la Kuhesabu Kura likiendelea na Vyombo Vya Habari Duniani vikiendelea kuchapisha Matokeo ya Kinyangβanyiro hicho kadri yanavyoendelea kutolewa .
Mpaka hivi sasa Donald Trump na Chama Chake Cha Republican wanaendelea kuongoza kwenye Kura sa Urais, Seneti na Magavana dhidi ya Mpinzani Wake Kamala Harris . Kwenye Kinyangβanyiro Cha Urais Trump mpaka hivi sasa amepata 'Popular Votes β 51, 466, 625 ikiwa ni 52.3% Dhidi ya 45, 502 , 228 alizopata Kamala Harris na kumuacha kwa Tofauti ya Kura 5,964,397 ( 46.3%) .
View attachment 3144844View attachment 3144845
View attachment 3144847
View attachment 3144848
View attachment 3144849
View attachment 3144850
Je, Trump atashinda na Kutangazwa Rais Mpya wa Taifa Hilo ?
Ndio maana tunambiwa siasa ni mchezo wa kijinga,Trump na republican wanaona China ni threat kubwa kwa USA kuliko Russia hasa kibiashara huku democratic wenyewe huwa wana deal sana na Russia kuliko China.sehemu pekee ambapo huwa wapo pamoja ni kwa kuilinda Israel.China anataka Kamala ashinde, Russia anataka Trump ashinde...
Raia wote wa bara la Africa wenye akili timanu tunataka Trump ashinde..
Ameshashinda, na hii Ndio awamu yake ya mwishoHivi Trump akishinda uchanguzi unao kuja atagombea tena au ndiyo atakuwa amekamilisha mihula 2?
Apite trumpo , I'li atunyoshe afrikaTuzidi kuwaombea
Ahsanteni sana πΌ
Ameshashinda tayari ana kura 246 bado 24 tu atangazwe πΌHeko Trump Shit hole country mjiandae kisaikolojia
Unajulikana na akili yako unafikiri Trump atakuwa upande wa kobazi, subiri maumivu zaidi
Uchaguzi ujao kuna yule mgombea mwenzake James David Vance,jamaa alikuwa machachari huko Repblican halafu ana miaka 40 tu.Hivi Trump akishinda uchanguzi unao kuja atagombea tena au ndiyo atakuwa amekamilisha mihula 2?
Nyie wapiga kura wenyewe hamjitokezi.Ila chaguzi za wenzetu raha sn
Ingekuwa huku kwetu πππ