Yanayojiri katika Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?

Yanayojiri katika Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?

Nani atashinda uchaguzi USA November 5, 2024?

  • Republicans (Donald Trump)

  • Democrats (Kamala Harris)


Results are only viewable after voting.
Following very closer.... Tuko Sako kwa Bako mpaka tumjue anayenyanyua kwapa.
 
Kamala sio mweusi, hana asili uouote na Africa.
kamala ana asili ya weusi. Baba yake ni mtu mweusi na mama yake ni muhindi. Huyo jamaa uliyemquote hajasema kamala ni mwafrika kasema ana asili ya weusi na ni kweli. Though kamala ni mtoto wa kishua.
 
230 kwa 179 Trump kisha shinda kabakiza 40 na yuko mbioni kupata 324
 
Lakini wamarekani Wanaona kuliko kuongozwa na Mwanamke Bora kichaa Trump
Ni kweli unajua tofauti na nchi kama German ambako mwana Mama Angela Markel aliiweza because top wake alikuwa mwanaume hivyo aliweza kubalance genda, ila kusema absolute power iwe kwa mwanamke aisee dunia naona kama bado haiamini hasa ukizingatia kipindi hiki ambacho kuna siasa zisizoeleweka, mfano issue ya Russia vs Ukraine, Iran vs Israel ambapo wanahifajika wanaume kukaa na kuamua. Uzuri wa Trump ni America kwanza kiuchumi kitu ambacho naona kipo poa kulilo hawa akina Biden wao wanawaza vita tu
 
Jnsia haimati kwao hata shoga anaeza kuongoza
 
Screenshot_20241106-072430_1.jpg

Dakika mbili zilizopita

Trump anahitaji kura 40 tu atangazwe mshindi wa jumla kwenye huo Uchaguzi
 
USA, mwanamke atapambana kwa nguvu zote na atapata nafasi zote za kiuongozi, ila si nafasi ya Urais!

Nafasi hii kwa mwanamke, itapatikana kwenye nchi zingine zozote duniani, ila siyo USA

Hiyo ni siri na makubaliano yatokanayo na Biblia ndani ya Taifa hilo yaliyoasisiwa na waasisi wa taifa hilo karine nyingi zilizopita

Hata hivyo, nyakati na majira hubadirika, lolote linaweza kutokea kwa sababu ya nyakati!

Waefeso 5:23​

Neno: Bibilia Takatifu​

Kwa maana mume ni kichwa cha mke kama vile Kristo alivyo kichwa cha kanisa, ambalo ni mwili wake, naye mwenyewe ni Mwokozi wa kanisa.​

Unataka kusema taifa la USA limetajwa kwenye bibilia yenu
 
Ni kweli unajua tofauti na nchi kama German ambako mwana Mama Angela Markel aliiweza because top wake alikuwa mwanaume hivyo aliweza kubalance genda, ila kusema absolute power iwe kwa mwanamke aisee dunia naona kama bado haiamini hasa ukizingatia kipindi hiki ambacho kuna siasa zisizoeleweka, mfano issue ya Russia vs Ukraine, Iran vs Israel ambapo wanahifajika wanaume kukaa na kuamua. Uzuri wa Trump ni America kwanza kiuchumi kitu ambacho naona kipo poa kulilo hawa akina Biden wao wanawaza vita tu
raisi ananguvu gani ujerumani?
 
Back
Top Bottom