Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeangalia hapa ndio ametoka kupata za califoni zikampandisha hadu 179.
Kazi imisha isha.
kamala ana asili ya weusi. Baba yake ni mtu mweusi na mama yake ni muhindi. Huyo jamaa uliyemquote hajasema kamala ni mwafrika kasema ana asili ya weusi na ni kweli. Though kamala ni mtoto wa kishua.Kamala sio mweusi, hana asili uouote na Africa.
214 kwa 179Tupo 210 kidosi kipo 113
Ngoma bado mbichi hiiSio poa
Ni kweli unajua tofauti na nchi kama German ambako mwana Mama Angela Markel aliiweza because top wake alikuwa mwanaume hivyo aliweza kubalance genda, ila kusema absolute power iwe kwa mwanamke aisee dunia naona kama bado haiamini hasa ukizingatia kipindi hiki ambacho kuna siasa zisizoeleweka, mfano issue ya Russia vs Ukraine, Iran vs Israel ambapo wanahifajika wanaume kukaa na kuamua. Uzuri wa Trump ni America kwanza kiuchumi kitu ambacho naona kipo poa kulilo hawa akina Biden wao wanawaza vita tuLakini wamarekani Wanaona kuliko kuongozwa na Mwanamke Bora kichaa Trump
Game is over Trump ndio RaisNgoma bado mbichi hii
Katupwa vibaya sanaMwanamama kafukia gap kubwa
Mmeshatoka mashimoni kuchungulia kama Yoav Gallant karejeshwa?
Unataka kusema taifa la USA limetajwa kwenye bibilia yenuUSA, mwanamke atapambana kwa nguvu zote na atapata nafasi zote za kiuongozi, ila si nafasi ya Urais!
Nafasi hii kwa mwanamke, itapatikana kwenye nchi zingine zozote duniani, ila siyo USA
Hiyo ni siri na makubaliano yatokanayo na Biblia ndani ya Taifa hilo yaliyoasisiwa na waasisi wa taifa hilo karine nyingi zilizopita
Hata hivyo, nyakati na majira hubadirika, lolote linaweza kutokea kwa sababu ya nyakati!
Waefeso 5:23
Neno: Bibilia Takatifu
Kwa maana mume ni kichwa cha mke kama vile Kristo alivyo kichwa cha kanisa, ambalo ni mwili wake, naye mwenyewe ni Mwokozi wa kanisa.
raisi ananguvu gani ujerumani?Ni kweli unajua tofauti na nchi kama German ambako mwana Mama Angela Markel aliiweza because top wake alikuwa mwanaume hivyo aliweza kubalance genda, ila kusema absolute power iwe kwa mwanamke aisee dunia naona kama bado haiamini hasa ukizingatia kipindi hiki ambacho kuna siasa zisizoeleweka, mfano issue ya Russia vs Ukraine, Iran vs Israel ambapo wanahifajika wanaume kukaa na kuamua. Uzuri wa Trump ni America kwanza kiuchumi kitu ambacho naona kipo poa kulilo hawa akina Biden wao wanawaza vita tu
Asirejeshwe huyo alikua anazuia zuia msipigwe....