Yanayojiri katika Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?

Yanayojiri katika Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?

Nani atashinda uchaguzi USA November 5, 2024?

  • Republicans (Donald Trump)

  • Democrats (Kamala Harris)


Results are only viewable after voting.
Hizo data zako za wapi?
 

Attachments

  • Screenshot_2024-11-06-08-01-29-586_com.android.chrome.jpg
    Screenshot_2024-11-06-08-01-29-586_com.android.chrome.jpg
    222.2 KB · Views: 2
USA, mwanamke atapambana kwa nguvu zote na atapata nafasi zote za kiuongozi, ila si nafasi ya Urais!

Nafasi hii kwa mwanamke, itapatikana kwenye nchi zingine zozote duniani, ila siyo USA

Hiyo ni siri na makubaliano yatokanayo na Biblia ndani ya Taifa hilo yaliyoasisiwa na waasisi wa taifa hilo karine nyingi zilizopita

Hata hivyo, nyakati na majira hubadirika, lolote linaweza kutokea kwa sababu ya nyakati!

Waefeso 5:23​

Neno: Bibilia Takatifu​

Kwa maana mume ni kichwa cha mke kama vile Kristo alivyo kichwa cha kanisa, ambalo ni mwili wake, naye mwenyewe ni Mwokozi wa kanisa.​

Hicho kifungu ulichonukuu hakina uhusiano wowote na uchaguzi wa Marekani.
 
Back
Top Bottom