Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Yes yes naonaZimebaki hapo hapo mpaka waende kwenye ngome yake..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes yes naonaZimebaki hapo hapo mpaka waende kwenye ngome yake..
Mkuu kuna majimbo inajulikana wazi Trump na Kamala watashinda hilo halina ubishi. Ngoma ipo katika majimbo saba ambayo ndiyo yataamua mshindi. Habari nzuri ni kuwa moja ya majimbo hayo North Caroline tayari Trump ameshinda hilo jimbo Lima vote 111, kwa Trump bado anahitaji vote 40 katika majimbo sita takiyosalia. Tuendekee kumuombea Trump ili ashinde.Tuzidi kuwaombea
Ahsanteni sana 🐼
Duh!.Harris 209
Trump 230
Moto unawaka sasa
🤣🤣🤣🤣Kashinda kirahisi saaaaana
Chanzo naombaTrump tayari anazo 270 back to the white house
Wamarekani wanafki sana...
Yes yes naona
Kwa mambo ya kipuuzi nayoyaona Bora mwanaume ashinde tu!
Mi mwanamke lkn Bora tu mwanaume ashinde!
Harris hatukutiii💪💪💪🎺🎺🎺
MwanaumeMbona walishamuweka black president, temna akaenda term 2.
Akikupa unitagChanzo naomba
Patamu kweliHarris 210
Trump 230
Moto umefikia patamu.
Duh!.. nini tena kimekukwaza Madam ?Kwa mambo ya kipuuzi nayoyaona Bora mwanaume ashinde tu!
Mi mwanamke lkn Bora tu mwanaume ashinde!
MmhGeorgia EC Trump +230 = 246
Duh!.
Duh!.. nini tena kimekukwaza Madam ?Kwa mambo ya kipuuzi nayoyaona Bora mwanaume ashinde tu!
Mi mwanamke lkn Bora tu mwanaume ashinde!