Yanayojiri kesi ya "Binti wa Yombo": Daktari aliyempima Binti aliyebakwa na Maafisa wa Jeshi atoa ushahidi Mahakamani

Kwa sasa hawawezi kuona shida, ila wakifika miaka 35-40 popote pale watakapokuwepo ndio wataanza kujutia kila hatua iliyowapelekea kushiriki kile kitendo kiovu.

Ila huyo maza nae sijui kichwani alifikilia nini,sisi madereva tuna kanuni inatuongoza ukiwa barabarani ujue unaendesha magari matatu yani la kwako, la nyuma yako na la mbele yako nikiwa na maana kuwa hata yule binti wa mwanamke mwenzie ilibidi amfikilie kama binti wa kwake.

Kwa yule binti hakika kwa umri ule asaidiwe tu kisaikolojia huko mbele mwenyezi Mungu atamlipa kadri inavyofaa.
 
Hakuna kesi hapo!!
Ni mitandao tu imekuza mambo...
Wanawake tumezidi ushankupe na mahangaiko Tupunguze jamani
 
Wasije wakasema ushahid haujitoshelezi
 
Natamani hawa wahuni uchwara wakifika jela tu nao wabakwe hadi akili ziwarudie. Mbwa wakubwa!
 
Mhanga wa ubakaji anatakiwa kupimwa masaa yasizidi 12 baada ya tukio. Miezi mitatu View attachment 3076894baada ya Makanda wa Chadema kuibua huu uovu Daktari anapima nini?
Vyovyote itavyokuwa muhimu haki ipatikane hili si swala la kisiasa mtu yeyeto mwenye utashi hapaswi kulifumbia macho hili swala la kudharirisha wanawake.
 
Vyovyote itavyokuwa muhimu haki ipatikane hili si swala la kisiasa mtu yeyeto mwenye utashi hapaswi kulifumbia macho hili swala la kudharirisha wanawake.
Ni kweli. Sasa katika kuipata haki ndiyo ushahidi unatakiwa. Swali ni Dr anapima nini? Tusaidieni
 
Mhanga wa ubakaji anatakiwa kupimwa masaa yasizidi 12 baada ya tukio. Miezi mitatu View attachment 3076894baada ya Makanda wa Chadema kuibua huu uovu Daktari anapima nini?
Anapima kama kaingiliwa sasa kaingiliwa na nani ni kazi ya mashahidi wengine, what if kama ingekuwa wanasema kaingiliwa alafu binti akukutwa ni bikra?
 
Ni kweli. Sasa katika kuipata haki ndiyo ushahidi unatakiwa. Swali ni Dr anapima nini? Tusaidieni
Miongoni mwa mengine, pia atapima kama kweli ameingiliwa kinyume na maumbile.
Hata kama ni siku nyingi zilizopita ila madhara yake bado yataonekana.

Nb. Aliyeshikwa na ngozi ndiye mwizi wa ng’ombe.....mpaka itakapodhibitishwa vinginevyo.
 
Ampime nini wkti video ipo? Anyway Kama watu waliolawiti watoto wakafungwa maisha walisamehewa na raisi? sabaya mnyanga'nyi na mtekaji maaruf alisamehewa,sitegemei hawa vijana watakaa jela muda mrefu.. jela za TZ ni kwa ajili ya wezi wa kuku na wafanya fujo baa
 
Tutayasikia na kuyaona mengi sana mwaka huu wa uchaguzi na mwaka ujao.

Nahisi "joto la uchaguzi" limeshaanza ndani na nje ya CCM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…