Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Basi hayahuyu dogo jana Njombe wamemkataa.
Mbona anarudia Mbeya na Njombe kila siku?Wiki moja na nusu hivi aliwakusanya kwa malori watu wa Njombe ,Mbeya,Songwe.Wakawatambulisha mpaka wabunge.Leoanarudi huko huko.He ,maeneo ya Ruvuma hayaoni?Maeneo ya Kigoma hayaoni?Ameishiwa pumzi huyu.Leo tena Rais Mtarajiwa wa awamu ya 6 anazidi kusonga mbele na kampeni zake za kuwaomba wananchi wamchague kwa kura nyingi mno ili aweze kuleta Uhuru kamili .
Endelea kufuatilia hapa hapa JF kwa taarifa za uhakika
View attachment 1570337
========
Saaizi zimekazana eti tukutane October 28 zunazani haifiki.... 🤔🤔Zile nyau zilizokua zinasema upinzani imekufa rasmi mbona hazismi tena
Relaxy dawa ikuingie vizuri..kwani kampeni zime isha ni swala la mda tu tuna fika ukoMbona anarudia Mbeya na Njombe kila siku?Wiki moja na nusu hivi aliwakusanya kwa malori watu wa Njombe ,Mbeya,Songwe.Wakawatambulisha mpaka wabunge.Leoanarudi huko huko.He ,maeneo ya Ruvuma hayaoni?Maeneo ya Kigoma hayaoni?Ameishiwa pumzi huyu.
Jamaa aliyeishi wa pumzi ni yule anayesema jogoo hoyii.Mbona anarudia Mbeya na Njombe kila siku?Wiki moja na nusu hivi aliwakusanya kwa malori watu wa Njombe ,Mbeya,Songwe.Wakawatambulisha mpaka wabunge.Leoanarudi huko huko.He ,maeneo ya Ruvuma hayaoni?Maeneo ya Kigoma hayaoni?Ameishiwa pumzi huyu.
Saaizi zimekazana eti tukutane October 28 zunazani haifiki.... 🤔🤔
Wkt zikisema hivo zinajifanya zimesahau kua hazitaki uchaguzi zinataka kupita bila kupigwa kura. Zinaogopa sanduku la kura
Ndugu time management and resources ni muhimu.Asubiri atapewa ka kazi kadogo kadogo.Hana uwezo wa kushinda urais huyo.Relaxy dawa ikuingie vizuri..kwani kampeni zime isha ni swala la mda tu tuna fika uko
Hujambo? Nipo Njombe jana na leo!Huyu jana Njombe wamemkataa.
Kuna mmoja mpaka aliomba mapumziko, je kaisharudi kwenye kampeni au?Mbona anarudia Mbeya na Njombe kila siku?Wiki moja na nusu hivi aliwakusanya kwa malori watu wa Njombe ,Mbeya,Songwe.Wakawatambulisha mpaka wabunge.Leoanarudi huko huko.He ,maeneo ya Ruvuma hayaoni?Maeneo ya Kigoma hayaoni?Ameishiwa pumzi huyu.
Ilikuwa kikanda saizi anachanja mbuga wilaya kwa wilayaMbona anarudia Mbeya na Njombe kila siku?Wiki moja na nusu hivi aliwakusanya kwa malori watu wa Njombe ,Mbeya,Songwe.Wakawatambulisha mpaka wabunge.Leoanarudi huko huko.He ,maeneo ya Ruvuma hayaoni?Maeneo ya Kigoma hayaoni?Ameishiwa pumzi huyu.
Nimecheka sana aisee, eti jamaa kazindua bomba kwa mara ya pili mpaka m7 akasema najua Jiwe anatafuta kura tu.Ndugu time management and resources ni muhimu.Asubiri atapewa ka kazi kadogo kadogo.Hana uwezo wa kushinda urais huyo.
Unahitaji nguvu kubwa kuelimishwaMbona anarudia Mbeya na Njombe kila siku?Wiki moja na nusu hivi aliwakusanya kwa malori watu wa Njombe ,Mbeya,Songwe.Wakawatambulisha mpaka wabunge.Leoanarudi huko huko.He ,maeneo ya Ruvuma hayaoni?Maeneo ya Kigoma hayaoni?Ameishiwa pumzi huyu.
Kumbe siku hizi ni mtarajiwa?? Maana hapo awali nilisikia ni Rais tayari, nashukuru umenieleweshaLeo tena Rais Mtarajiwa wa awamu ya 6 anazidi kusonga mbele na kampeni zake za kuwaomba wananchi wamchague kwa kura nyingi mno ili aweze kuleta Uhuru kamili .
Endelea kufuatilia hapa hapa JF kwa taarifa za uhakika
View attachment 1570337
========
Mtabwabwaja sana safari hiiKumbe siku hizi ni mtarajiwa?? Maana hapo awali nilisikia ni Rais tayari, nashukuru umenielewesha
LISU HIZI SASA NI SIFA.Leo tena Rais Mtarajiwa wa awamu ya 6 anazidi kusonga mbele na kampeni zake za kuwaomba wananchi wamchague kwa kura nyingi mno ili aweze kuleta Uhuru kamili .
Endelea kufuatilia hapa hapa JF kwa taarifa za uhakika
View attachment 1570337
========