Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kuweweseka , Njombe na Mbeya na mikoa yote ya Tanzania unayoijua, TL haingii na 'passport'.Mbona anarudia Mbeya na Njombe kila siku?Wiki moja na nusu hivi aliwakusanya kwa malori watu wa Njombe ,Mbeya,Songwe.Wakawatambulisha mpaka wabunge.Leoanarudi huko huko.He ,maeneo ya Ruvuma hayaoni?Maeneo ya Kigoma hayaoni?Ameishiwa pumzi huyu.
Wakwenu wiki ya tatu sasa yupo mwanza( kanda ya ziwa)Mbona anarudia Mbeya na Njombe kila siku?Wiki moja na nusu hivi aliwakusanya kwa malori watu wa Njombe ,Mbeya,Songwe.Wakawatambulisha mpaka wabunge.Leoanarudi huko huko.He ,maeneo ya Ruvuma hayaoni?Maeneo ya Kigoma hayaoni?Ameishiwa pumzi huyu.
Ukiwa mtu mzima utamgundua mtoto anayepevuka, Karibu sana Tanzania.Mtabwabwaja sana safari hii
Ndugai ataanza yeyeLISU HIZI SASA NI SIFA.
WALE WALIOSEMA UZIKWE NDANI YA SIKU 3 WANAJISIKIAJE?
cc JOB wa NDUGAI.
Huyu jana Njombe wamemkataa.
Tunamtakia heri na mafanikio makubwa.Leo tena Rais Mtarajiwa wa awamu ya 6 anazidi kusonga mbele na kampeni zake za kuwaomba wananchi wamchague kwa kura nyingi mno ili aweze kuleta Uhuru kamili .
Endelea kufuatilia hapa hapa JF kwa taarifa za uhakika
View attachment 1570337
========
UPDATES
Njombe Mjini
JPM. Waache watoto wasome. Mitihani imakaribia. Wakishindwa, shauri yako.
Hawa wote wanapiga kura kwa mikono, miguu, na moiyo yao.Njombe Mjini
Ningeshangaa angeandika mwingine, tofauti na wewe!Huyu jana Njombe wamemkataa.
ThibitishaHuyu jana Njombe wamemkataa.
Sawa hawezi kukubalika kila sehemu lkn anakubalika na wengi.Huyu jana Njombe wamemkataa.
Waungilage bwashee!Leo tena Rais Mtarajiwa wa awamu ya 6 anazidi kusonga mbele na kampeni zake za kuwaomba wananchi wamchague kwa kura nyingi mno ili aweze kuleta Uhuru kamili .
Endelea kufuatilia hapa hapa JF kwa taarifa za uhakika
View attachment 1570337
========
UPDATES
Njombe MjiniView attachment 1570470View attachment 1570471View attachment 1570473View attachment 1570472
Hee kumbe Kagera watu ni wafupi kuliko huku kwetu Upareni! Nyerere alikuja kwetu, kwa ufupi wetu akasema; “watoto kawaiteni Baba zenu!” Tukamjibu, “Baba dhao na mama dhao ni thithi thithi!”
Hiyo mikoa siyo mikoa ya kuwabeba watu kwa malori au wa kuwapa kilo ya sukari ili upate kun Katazame mpangilio wa mikoa ya Tanzania katika pato la wananchi:Mbona anarudia Mbeya na Njombe kila siku?Wiki moja na nusu hivi aliwakusanya kwa malori watu wa Njombe ,Mbeya,Songwe.Wakawatambulisha mpaka wabunge.Leoanarudi huko huko.He ,maeneo ya Ruvuma hayaoni?Maeneo ya Kigoma hayaoni?Ameishiwa pumzi huyu.