Uchaguzi 2020 Yanayojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu Njombe na Mbeya

Hizi picha za kutengeza ndio huwa zinafanya mgombea wetu asiamini matokeo ya mwisho. Tuweke picha za ukweli kwa maufaa ya chama chetu. Sio kuonyesha mafuriko alafu tunapata kura mil 1.
Hii elfu7 inayolipwa kwa hiki kichwa inapotea bure, johnthebaptist mwambie Bashiru vijana aliowatuma kujibu hoja wana mtindio wa ubongo, hawawezi kuumiza vichwa vyao.
 
Hivi ile Dream liner ina mafuta ya kutosha kufika ujerumani?
 
Mbona anarudia Mbeya na Njombe kila siku?Wiki moja na nusu hivi aliwakusanya kwa malori watu wa Njombe ,Mbeya,Songwe.Wakawatambulisha mpaka wabunge.Leoanarudi huko huko.He ,maeneo ya Ruvuma hayaoni?Maeneo ya Kigoma hayaoni?Ameishiwa pumzi huyu.
Kwani mh Lissu yuko wapi? Au unadhani yupo ikungi anavuta pumzi? Jembe lipo kikazi huko nyanda za juu
 
Chama Tawala CCM nawasihi sana aagizeni vyombo vya habari virushe kampeni za wapinzani ili na wagombea wa CCM wazichukue hizo hoja na kuzitolea ufafanuzi.

Mkiachie hoja za wapinzani zibaki kwa wananchi bila ya wenye mamlaka kuzisikia ili kuzitolea majibu zinaweza kuwa na matokeo hasi kwa CCM
 
Meco sasa hivi ameanza kuijua nguvu ya wapinzani maana tayari ashaanza kulia lia kwa ndugu zake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alikuwa anadanganywa kuwa upinzani umekufa kumbe watu tuliuchuna tu tukawa tunajijenga chini kwa chini bila wao kujua ...mara paaa tumeibuka [emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alikuwa anadanganywa kuwa upinzani umekufa kumbe watu tuliuchuna tu tukawa tunajijenga chini kwa chini bila wao kujua ...mara paaa tumeibuka [emoji23][emoji23][emoji23]
Meco sasa hivi yupo hoooiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…