Live coverage on JamiiForums
[emoji298]#BREAKING The British Foreign Office calls on citizens in “Israel” to leave if their stay there is not necessary
 
Tuendelee kuomba amani ila israel nayo iache uchokozi.

Simu zinapigwa kutoka duniani kote kuomba Iran isifanye inachopanga kufanya Israel masaa 24 kutokea sasa.
 
Ayatollah na dela lake kakimbilia kwenye handaki kwa hofu kuu ya kuuawa na Israel, nyang’au sana hili kazi kufadhili magaidi tu
 
nadhani alichokifanya Iran kule Iraq baada ya kamanda wake kuuawa na marekani mnakumbuka! Iran hua hana kubwabwaja maneno... wait and see.
Kelele za chizi.

God Bless Israel
 
Iran mwanaume wiki sasa watu wanajamba jamba vikao mpaka usiku wa manane huko israeli .kila mmoja anapiga simu kumsihi asijibu mapigo mwanaume kawaambia wakae tayari lazima ajibu mapigo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…