LIVE Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel, Palestine Gaza na Iran
Live coverage on JamiiForums
Uislam ungekuwa unamheshimu Mwanamke asingekuwa mtumwa wa Mwanaume.

Uislam unamkandamiza Sana Mwanamke pasipo Logic yoyote.

Uislam haumtambui mwanamke kama MTU Bali unamtambua kama kiumbe kisicho na hisia.
Ndîo maana kûna Ndoa za Wake zaidi ya wanne.

Uislam ulichukua mapokeo ya kiarabu na kuyaingiza kwèñye Quran na Dini ya kiislam.
Mfano Swala la mavazi Kwa Wanawake, Swala la kuzika mapema n.k
Ukristo zaidi
 
Israeli soldiers desecrated( treat with disrespect) the Church in the Lebanese town of Deir Mimas, and made fun of the blessed Virgin Mary while conducting a homosexual wedding in the church as a 'joke'

Wanajeshi wa israel wakifanya dhihaka kanisani katika mji wa deir mimas nchini lebanon na wakileta utani kwenye sanamu la mtakatifu bikira maria. Wakati huo huo wakiwa wanafunga ndoa ya jinsia moja kama dhihaka dhidi ya ukristo.

Haya wachungaji na makondoo njooni muwatetee watoto wa mungu wenu.
 

Attachments

  • VID_20241126_141127_700.mp4
    4.3 MB
Tukiwaambia mmelishwa propaganda juu ya hawa watu mtakataa
 
'Bado Israel ni taifa teule, atakae ilani Israel atalaaniwa atakae iombea atabarikiwa'
 
Mi nashangaa!

Haya manajeshi ya kishogha Israel, ndo yanawahenyesha wanaume karibu nchi zote hapo middle?
 
Mambo kama aya yapo mengi uko Ulaya lkn tena sio propaganda ni kweli lkn watu awaoni umuimu sana kuwajaza umu!! Aibu kubwa hii lkn chakushangaza wenye iyo Imani kutwa wanaleta uzi wa propaganda kuikandamiza DIni y kislamu kwa uwongo utasikia telaban sheria hii utasikia waislam wa UK waandamana kuunga mkono ushoga utasikia lile na lile kwao kuoza sasa wanafanya propaganda kuuonesha na Uislam pia kwamba aifai. Ni propaganda awawezi bisha uko UK Maandamano mbona mengi kwann wale wanaounga mkono ushoga wavishwe Uslamu. Wachungaji wamepagawa na kashfa za ushoga ndani ya Dini yao so wanofosi kuingiza na Dini nyengine kwenye iyo shida.!!!
 
Poleni sana makamanda mkiongozwa na Ritz bila kuwasahau FaizaFoxy , THE BIG SHOW , Malaria 2 , ielewemitaa na mzee wangu Mohamed Said

Pigo mlilopata mioyoni mwenu ni kubwa mno, hiyo ndiyo athari ya kupambana kwa kutumia nguvu nyingi bila kushirikisha akili yako wakati unaye pambana naye anatumia akili nyingi na nguvu kidogo tu.

Unapiga ngumi 100 zakifua, unapigwa moja ya pua unatulia kusikilizia. Ndicho kimetokea kwa Iran. Sasa tutegemee bei ya makobazi kupanda.
 
Mwenyezi Mungu awatie nguvu wale waliopatwa na majanga na wapo hai

Marehemu Mungu wetu mwema awapumzishe salama,wao wametangulia lakin safari yetu ni moja,twaja hukohuko waliowatanguliza ngoja wapambane kidogo na stress za duniani ...watakuja tu
 
Back
Top Bottom