ITR
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 6,096
- 16,390
Kwa hiyo unakili kuwa shambulizi la Iran dhidi ya Israel lilikuwa na madhara makubwa ndo maana Israel ikajibu?Hivi huyu Iran anataka nini, si alisema shambulizi la Israel halikuwa na athari yoyote ya maana sasa iweje anataka aishambulie tena Israel..😛😛😛