LIVE Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel, Palestine Gaza na Iran
Live coverage on JamiiForums
Duh jamaa una roho ngumu. Ndugu zako katika imani ya kiislamu wanateketea wewe bado unaleta usokolokwinyo humu.

Unaambiwa yahya sinwar amekuta bikra wamekwisha huko kuzimu wewe bado unaleta ngonjera?

Nimeamini watu hawana huruma, wapalesitina mwaka sasa hawakijui kitanda wewe unaleta mkundu wako huku?

Riz ni mpumbavu sana
Aliuliwa Yesu na hawa magaidi wa Israel,walimvalisha nepi,walimsulubu,wakamchoma mkuki,wakamdhihaki,wakamuua,na alikuja kuwakomboa,na mpaka leo wanamuita mtoto wa nje ya ndoa.Itakuwa wengine,wawache hivi hivi.
 
Hezbollah has precision missiles and can target IDF anywhere they are socializing.

In Gaza, the rockets usually fall further away from their soldiers which gives them a chance to run away, but that doesn't work against Hezbollah. They will hit without them noticing.
Wishful thinking
 
Uharibifu huu unatusaifuaje binadamu? IDF ianze kufikiria upya sasa namna nzuri ya kumalizana na mahasimu wao.
Wamemaliza Gaza na West Bank. Na Lebanon nayo wanataka iwe magofu?
Anyway, wale wajinga wanaofikiria vita ni lelemama na kuambiana uongo wameshapewa funzo
Arudie tena funzo maana hawezi kueleweka kwa hamas wala hizbo
 
Sitaki kujua nani anapata faida au nani anapata hasara ninachokiomba itembee kwa miaka kama 10 hivi
Mkuu watoto huwaonei huruma yani wako hospital vingine ni vidogo lakini Wana majeraha makubwa na badegi 😭 wengine wanaumia wasiokuwa na hatia
 
Mkuu watoto huwaonei huruma yani wako hospital vingine ni vidogo lakini Wana majeraha makubwa na badegi 😭 wengine wanaumia wasiokuwa na hatia
Mazayuni unayajua? Bora wateseke sasa hatima ya maisha yao ijulikane sio manyanyaso katika ardhi yao wewe unataka wawe chini ya mzayuni kila siku kuuawa kufungwa nje nje hayo maisha gani? Bora kiwake either wapate nchi yao au pasikalike
 
Wadau hamjamboni nyote?

Jisomee mwenyewe

3hr ago

Hezbollah Radwan Force commander in Lebanon’s Aitaroun killed in recent strike, IDF says

By Emanuel Fabian

The commander of Hezbollah’s elite Radwan Force in southern Lebanon’s Aitaroun region was killed in a recent airstrike, the IDF says.

Abbas Adnan Moslem, according to the military, was responsible for numerous rockets attacks on troops and Israeli towns, from the Aitaroun area.

The IDF says it also carried out strikes against some 200 Hezbollah targets in Lebanon in the past day.
 
Duru zinasema kuwa Iran imezijulisha nchi za kiarabu zilizo eneo hilo kuwa inajiandaa kuanzisha mashambulizi dhidi ya Israel.
Iran imefafanua kuwa shambulizi linalo litakuwa na nguvu sana na silaha zitakazo tumika zitakuwa na nguvu kuliko la hapo awali.
 

Attachments

  • Screenshot_20241104-105646.png
    Screenshot_20241104-105646.png
    502.6 KB · Views: 3
Back
Top Bottom