gTurn
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 2,651
- 4,151
Sitaki kujua nani anapata faida au nani anapata hasara ninachokiomba itembee kwa miaka kama 10 hiviHivi vita ni nani anapata faida na nani anapata hasara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sitaki kujua nani anapata faida au nani anapata hasara ninachokiomba itembee kwa miaka kama 10 hiviHivi vita ni nani anapata faida na nani anapata hasara
Hujaona bado watu wenye maisha magumu naona hao kwenye picha SI angalau Wana uwezo hata wa kula Milo miwiliWatu wana maisha magumu hali ni mbaya lakn usiku kucha kuleta habari za vit zisizokuwa na msaada wowote.View attachment 3131229
Magaidi wataingia mitini na kukimbilia kwa Ayatolah.Sitaki kujua nani anapata faida au nani anapata hasara ninachokiomba itembee kwa miaka kama 10 hivi
Hiyo picha pengine unaiona tu bila kuwaza undani wake. 80% ya boda wengi wao pikipiki sio zaoHujaona bado watu wenye maisha magumu naona hao kwenye picha SI angalau Wana uwezo hata wa kula Milo miwili
Sijawahi kuslim dini yangu na dhehebu langu ni Rc kuhusu ushabiki uliomo humu ni ujinga tuSheikh kunywa maji mengi utulie zako haya mambo hayahitaji hasira.
Ukraine mapigano yapo miji ya mashariki lakini Urusi inashambulia KievHezbollah wapo South Lebanon mtu anaenda kubomoa Beirut
sisi waafrica hata kama wanatuambia tunamaisha magumu na tunaishi chini ya dolla moja ila huwa haturuhusu stress na panicking kama wao asia na wazungu africa hatujali tumejizoelea na hali zetu na Mungu nae fundi vitambi vinatoka fresh..! hapo tupo tunapiga stori za simba na yanga tukichoka tunapiga stori za gaza na israel njaa zikiuma tunaenda kwa mama ntilie tunashiba kwisha..Watu wana maisha magumu hali ni mbaya lakn usiku kucha kuleta habari za vit zisizokuwa na msaada wowote.View attachment 3131229
Hawa Israel kuwachokoza inabidi uwe tayari kwa mji wako kufanywa shamba......
View: https://x.com/TGEThGlobalEye/status/1848104842587201562?ref_src=twsrc%5Etfw%7Ctwcamp%5Etweetembed%7Ctwterm%5E1848104842587201562%7Ctwgr%5Ef3bb8c039ea4da5c96589879669d946e5043da5f%7Ctwcon%5Es1_&ref_url=https%3A%2F%2Fwww.timesofisrael.com%2Fliveblog_entry%2Fvideo-shows-large-building-in-beirut-crumbling-to-ground-after-apparent-strike%2F
Halafu wewe bwege kazi yako ni kusoma na ku comment. Haya leta vitu vya maaana. Mkipigwa ndo mnakimbilia haya maneno ya mkosaji. Ila mkirusha mabomb mnaanzisha nyuzi kujisifu.Watu wana maisha magumu hali ni mbaya lakn usiku kucha kuleta habari za vit zisizokuwa na msaada wowote.View attachment 3131229
Hao hawana hali ngumu aisee wamelala juu ya boda boda na kupiga simu huku wameweka miguu nne..Watu wana maisha magumu hali ni mbaya lakn usiku kucha kuleta habari za vit zisizokuwa na msaada wowote.View attachment 3131229
Nipo mwanza huku nimepigwa wapi bwana mjanja?Halafu wewe bwege kazi yako ni kusoma na ku comment. Haya leta vitu vya maaana. Mkipigwa ndo mnakimbilia haya maneno ya mkosaji. Ila mkirusha mabomb mnaanzisha nyuzi kujisifu.
Wafadhili na viongozi hawapo huko Kusini mwa Lebanon.Hezbollah wapo South Lebanon mtu anaenda kubomoa Beirut
Haaa ....mi nikadhani upo Lebanon? Au Iran. Kumbe msukuma upo Magu huko Mwanza?basi tuendelee tu kushabikia haya mambo 🤣Nipo mwanza huku nimepigwa wapi bwana mjanja?
Bas sote kwa pamoja tuseme takbiiiir.Sijawahi kuslim dini yangu na dhehebu langu ni Rc.