Hata kama isingekua hivyo kwani ukipita suez canal unaelekea wapi kama sio kupita red sea!?Mafuta hupita strait of hormuz,ambayo ni bahari ya Iran,mafuta na gesi yote ya saudia,qatar etc,we furahia tu refinery za mafuta za Iran kupigwa,nauli ya daladala itakua buku tano kimara-gerezani
Na hapo lazima uiguse baab al mandib kwa kidume Yemen.