Total Population:
Iran ๐ฎ๐ท: 87.6M
Israel ๐ฎ๐ฑ: 9.04M
Available Manpower:
Iran ๐ฎ๐ท: 49.05M
Israel ๐ฎ๐ฑ: 3.80M
Fit-for-Service:
Iran ๐ฎ๐ท: 41.17M
Israel ๐ฎ๐ฑ: 3.16M
Military Personnel:
Active Personnel:
Iran ๐ฎ๐ท: 610K
Israel ๐ฎ๐ฑ: 170K
Reserve Personnel:
Iran ๐ฎ๐ท: 350K
Israel ๐ฎ๐ฑ: 465K
Paramilitary Forces:
Iran ๐ฎ๐ท: 220K
Israel ๐ฎ๐ฑ: 35K
Financials:
Defense Budget:
Iran ๐ฎ๐ท: $9.95B
Israel ๐ฎ๐ฑ: $24.4B
External Debt:
Iran ๐ฎ๐ท: $8B
Israel ๐ฎ๐ฑ: $135B
Foreign Reserve:
Iran ๐ฎ๐ท: $127.15B
Israel ๐ฎ๐ฑ: $212.93B
Airpower:
Total Aircraft:
Iran ๐ฎ๐ท: 551
Israel ๐ฎ๐ฑ: 612
Fighter Aircraft:
Iran ๐ฎ๐ท: 186
Israel ๐ฎ๐ฑ: 241
Attack Helicopter
Iran๐ฎ๐ท: 13
Israel ๐ฎ๐ฑ: 48
Land Power:
Tank Strength:
Iran ๐ฎ๐ท: 1,996
Israel ๐ฎ๐ฑ: 1,370
Armored Vehicles:
Iran ๐ฎ๐ท: 65,765
Israel ๐ฎ๐ฑ: 43,407
Self-Propelled Artillery:
Iran ๐ฎ๐ท: 580
Israel ๐ฎ๐ฑ: 650
Naval Power:
Fleet Strength:
Iran ๐ฎ๐ท: 101
Israel ๐ฎ๐ฑ: 67
Submarines:
Iran ๐ฎ๐ท: 19
Israel ๐ฎ๐ฑ: 5
Logistics:
Airports:
Iran ๐ฎ๐ท: 319
Israel ๐ฎ๐ฑ: 42
Merchant Marine:
Iran ๐ฎ๐ท: 942
Israel ๐ฎ๐ฑ: 45
Natural Resources:
Oil Production:
Iran ๐ฎ๐ท: 3.45M bbl
Israel ๐ฎ๐ฑ: 0 bbl
Hizi namba bila ufafanuzi mtu anaweza ingia kichwakichwa akaamini isivyo sahihi. Mfano kill to loss ratio ya F-16 ni 76 to 1 (F-16 ziliwahi kuua ndege 76 angani na ni F-16 moja iliwahi dondoshwa I think ilikuwa ni ya India dhidi ya Pakistan). Na kill to loss ratio ya F-15 ni 102 to 0, F-15 mbalimbali duniani zimekuwa ndege 102 kwenye aerial duels angani ila hakuna F-15 iliwahi dondoshwa angani na ndege nyingine.
Hapo sasa Israel yenye F-16I 'Soufa' zaidi ya 300 na F-15 ndege hizi mbili ni latest na zina rekodi nzuri angani, jumlisha na F-35 stealth. Jumlisha na uwezo wa kujazia mafuta angani ambao Israel anao unakuta Israel ina advantage kubwa sana kwenye ndege.
Iran ana idadi kubwa ya ndege ila za zamani. Mfano F-14 Tomcat alizonazo Iran ni za Marekani, ambaye aliishaacha kutengeneza na kutoa support. Na ziko outdated za Marekani mwenyewe aliziuza vyuma chakavu mwaka 2006. Na Iran ana US made F-4/F-5 ndege za zamani US kaacha kutumia miaka zaidi ya 30 uko.
Iran ina sanctions kwenye silaha ndio maana sio Urusi wala China wanakubali kuiuzia fighters wanajiogopa. Sasa kwa mlinganyo huo, nina semi za Scania tisa na una Suzuki Carry Kirikuu kumi na tano. Wewe utaonekana una magari mengi ya mizigo, ila sasa unabeba nini.
Na data nyingine zina maelezo yake. Mfano kwenye naval power, Israel ana advanced warships chache za kisasa na bora kama Saar 6, zimefanya interceptions nyingi. Iran hata speed boats nazo anahesabiwa kama naval assets kwahiyo anaonekana ana meli nyingi. Ndio maana kwenye Navy tunapima tonnage za displacement. Una mitumbwi 20, nina boti 15 utaonekana na vyombo vingi vya usafiri kunizidi ila nakuzidi uwezo.
Kwenye population ni yaleyale Israel imepigana vita za Kiarabu ikiwa na disadvantage ya population mara zote. Kwenye tanks uko ni kawaida ya Israel tankers kuwa na wastani mzuri kwenye tank-to-tank combat, achana na kuviziana kwa infantry vs tank.
Advantage ya Iran ni kuwa kubwa, airbases nyingi na bandari. Mafuta inajitegemea na population pia haijawahi kuwa disadvantage. Soviet Union walikufa raia kama milioni 20 kwenye vita ila mapigano yaliendelea. Ni disadvantage kwa Israel ambayo ina watu wachache na inathamini sana maisha ya mpiganaji mmoja mmoja