Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
Ni changamoto ambayo imeikomaza Iran mpaka kuwa kama ilivyo sasaMiaka yote Iran ndie anaetafutwa hata vita vya miaka 8 kati ya Iraq na Iran ilikuwa ni kummaliza nguvu Irani.
Sadam akiwa katengenezwa na wamarekan
Maneno mengi sana, una chochote unaropoka ropoka tuuu mara jericho mara dolphin 🐬. Tumia muda kutengeneza kipatoYani Iran kashambulia jana tu alafu unasema eti ajisahau kweli uko sawa wewe... Kwa akili ya Kawaida Airdefence zote za Iran zipo macho kwasasa....Iran wana early warning radar system za kuona Middle eastern yote... Iran kwa siku za karibuni amefanikiwa kurusha satellite ambazo nazo zinamsaidia kuona mbali hasa kwa hasimu wake Israel...Russia nae anaweza kumtonya kwa satellite zake ambazo zinaona 24hrs nin unafanya...Kurusha Hizo F-35 from Telaviv to Tehran zitapita anga gan bila kuongezewa wese?? Option rahis kwa Israel ni kutumia Germany made dolphin submarine alizonazo kujificha karib kabisa na bahari ya Iran na kurusha cruise missiles ambazo hizo submarine anazo ka 10 ivi so ni limited na option nyingine ni kurusha Jericho ballistic missile capable of reaching Iran nazo anazo chache....Na Israel km ataamua kupeleka ndege zake na Iran akafanikiwa kuzidungua kadhaa atakua ameua soko la US za ndege vita zake kitu ambacho US hataki maana soko la air defense systems za Iran litapata soko...So tusubirini tuone
punguza kujamba dogoKama aliyonayo Mama yako.
Israel inalindwa na waarabu.
Bila waarabu israel ingeshafutwa.
Kama anavyowamwagilia mazombi wake wangese nyieAlikumwagilia mbegu🤣🤣
Kijana aliyetumwa na Mama Ngina kuja kueneza propaganda Tanzania. Umekula lakini?Hebu waza mamia ya magobore au mafataki kama haya yalitumwa kwa kataifa kadogo mithili ya mkoa na kaliyashusha yote, je kuna taifa Afrika lenye uwezo huo?
Mpaka sasa matokeo -Israel imepoteza binti mmoja, Iran imepoteza majemedari saba.
Kataifa kenyewe haka hapa
Wavaa dera mpate aibu brazaj
Israel haogopi kitu kinachoitwa Islam au Allah na Akbar anatembeza kichapo tu
Putin nae anavita yake Hana uwezo wa kusupport sana anatafta namna kuwepo ktk hii conflict sabab west wapo ndio maan nae anataka kusteal the show ila tambuaen kwamba Israel hawatafyata never wakati ni sasa vita vipigwe tu Iran kwao ni potential enemy lazima kumpa pressureUkimuona mbwa mtini ujue yupo aliyempandisha, Urusi,China N Korea hawawezi mwacha aanguke Iran.View attachment 2965558
Hiyo tweet ni maoni binafsi ya mtumiaji mmoja wa X, siyo taarifa rasmi.Ukimuona mbwa mtini ujue yupo aliyempandisha, Urusi,China N Korea hawawezi mwacha aanguke Iran.View attachment 2965558
70% ya nishati Duniani inapitia strait of Hormuz ambapo Iran yaweza kuifunga hiyo njia.kuna nchi itakubali yatokee kama Yale ya nishati ya Urusi?sasa vita vipigwe tu Iran kwao
Muajemi nimemdharau sana na mafataki yake.Mnakaa.mnamsifia humu kumbe hana kitu.Imagine.mafataki 300 yanaishia kuumiza kabinti!Israel kamwe hawezi kushambulia Iran moja kwa moja kama alivyo Fanya Iran.....anamjua Iran vizuri sana.....na anamjua Muajemi akichafukwa huwa harudi nyuma.......ataishia kubweka bweka tu lakini hakuna atakachofanya.......hayo MAKOMBORA 200 tu wamekuja kumsaidia ndugu zake.....
Kama ni mafataki mbona mpaka Leo hajajibu hata moja wapo......amekaa kimya tu......na mabwana zake wamwembia ukianzisha vita na Iran utapigana mwenyeweMuajemi nimemdharau sana na mafataki yake.Mnakaa.mnamsifia humu kumbe hana kitu.Imagine.mafataki 300 yanaishia kuumiza kabinti!
Iran sio wanawake na watoto wanaouawa kila siku huko GazaWaziri wa ulinzi anawahakikishia mullahs wamefel kichapo kipo njiani kuwanyea ni kuwatembezea kichapo tu.
Kwa jinsi pro Iran wanavyotamba baada ya kombora zao kushindwa reach target [emoji457] zingine kufell kuruka zingne zilishia njian nying kupigwa chin na iron Dom pro Iran wanajisifu kumbe hawana uwezo wowote wa defense kwa kile kinachokuja kuwapata Russia amewaonea huruma awape ndege za kisasa na mfumo wa ulinzi ila kwa IDF ni kazi bule maana Israel kasema atapiga popote pale ktk Iran territory na iyo mifumo ifungwe ifanye kazi sio Leo na pili Russia kashindwa kazi kule ukraine ataweza tunisha kwa Jews wenye tech standard kabisa
Sasa muda ndio huu israel hajawahi shindwa na hii vita kaitaka muda mrefu ndio maana alimchokonoa mandevu na Dela lake akajaa mzima mzima sasa na Israel anajua akimjib Iran nae atajib tena kama zuzu flan vitaumana
Defense Minister Gantz to soldiers on the northern border: "The Iranians failed in their attack and will fail deterring Israel.The skies of the Middle East are open to the Air Force-any enemy that fights against us will be defeated."
Mesopotamia ni Iraq, Kuwait, Syria na baadhi ya maeneo ya Uturuki.
Unatuangusha great thinkers na hizo akili zako za kushikikiwa. Unatia aibu.Walisaidia kutungua baadhi na tunashukuru sana kwa huo ushirikiano, ila Israel ilipiga chini asilimia kubwa ya hayo makombora, kimsingi ni dhihirisho tosha kwa Iran kwamba hayo madude yake ni magobore tu yasiyo na umuhimu wowote.