Ramesses II
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 3,710
- 5,054
Myahudi yupi unamuongelea? Huyu huyu aliyekaa nje ya ardhi yake Kwa miaka 2000 baada ya kuchakazwa na Jenerali Tito wa Rumi? Myahudi huyu huyu aliyekaa kama mtumwa wa Muajemi kwa mamia ya miaka? Myahudi huyu aliyetumikishwa na Wasubi pale Misri Kwa miaka mia nne? Myahudi huyu huyu aliyeshughulikiwa na Hitla? Myahudi huyu huyu anayetolewa Makamasi kwa miezi mitatu Sasa na Hamasi wanaokaa ktk kitongoji kimoja? Msiwe mnadangwa na Wachungaji wenu ktk vibanda vya Ibada. Hakuna binadamu bira kuliko mwingine mbele za Mungu.Dela la Ayatollaah linaenda kuvuliwa hadharani, Myahudi hajawahi shindwa, Iran itawaka moto, nilisema humu watu viburi waksema Israel hana uwezo wa kulipiza kisasi, yaani Tehran itapigwa na hawawezi kuzuia mabomu hawana mfumo imara wowote, hii ligi bado mbichi, Iran inaenda kuwa Iraq or Libya or Aghanistan
US lead NATO members wengi UK, France, Germany, Canada, wote wataingia na kumpiga Iran vibaya, Russia na China hawata dhubutu kutia mguu kum support Iran, subiri muone moto wake..!!