Live coverage on JamiiForums

Amid escalating tension between Iran and Israel following Iran’s recent attack on Israeli targets, reports from The Washington Post indicate that Tehran’s proposed procurement of Russian Su-35 fighter jets and S-400 air defense systems could significantly bolster Iran’s military capabilities, posing a massive threat to Israeli security.

According to US Intelligence officials cited in the report, Russia is advancing agreements negotiated in secret to supply Iran with Su-35s, well known as one of Russia’s formidable fighter-bombers.

For Iran, this acquisition could mark a substantial upgrade for its air force, which predominantly consists of rebuilt US and Soviet-era aircraft dating back to before 1979.
 
Kwani baada ya shambulio la Iran ni ndege ngapi zilirejea Iran baada ya kufanya s
Hongera zao kwa kurudisha ndege zote hizo 300 ambazo zilifanya mashambulizi naona walizirudisha pamoja na majeneza yake.
Sasa Kamikazi Drone huwa Zinarejea baada ya Shambulizi.

Muwe mnafanya Homework kwsnza kabla ya kwenda Public.

Unajua kwa nini zimeitwa Kamikaze au 'Shahed' ?
 
Huyu Gilad Erdan balozi wa Israel UN ana jaziba sana. Issue ndogo tu anaongea kifua kimejaa kwa hasira. Huyu ukimzonga sana na hoja nzito hachelewi kurusha ngumi.
 
MAKOMBORA YA IRAN YALIHARIBU HADI KITUO CHA NYUKLIA CHA ISRAEL CHA DIMONA

BREAKING: ISRAEL NUCLEAR PLANT DAMAGED BY IRAN ATTACK

Satellite imagery show at least one injury within the confines of a nuclear reactor facility in Dimona, with two additional injuries reported nearby.

Reports from local Israeli media suggest that the Dimona nuclear complex may have sustained damage as a result of an attack originating from Iran.

Furthermore, the publication highlighted inconsistencies between official narratives and visual evidence, noting injuries not only at the Dimona reactor but also at two air bases in the Negev region.
 
Hahaha Kazi kazi mbwa lazima wa bweke kwa staili hii
 
Hizi Kashfa ni kwa ajili gani ndugu, mbona mada haihusiani na haya mambo mnayofanya ninyi?

Tunakwama wapi kujadili haya mambo bila kukashifu njia za imani?
Hili swali ni zuri but inabidi uwaulize ninao wa-quote.
Ukiona nimetumia hizo kejeri, anza kumsoma nilie m-quote, huwa najibu kejeri alizozianzisha. Wakiacha kutukejeri na matusi, hutaziona hizo picha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…