Huo ni msisitizo kama grammar haina shida niombe radhi kwa kuingilia post yangu ukijifanya mwl wa kingereza kumbe bogaz tuMkuu, ungeandika kwa Kiswahili tu.
^Inasemekana kambi la jeshi limepigwa huko Iran asubuhi hii.^
Israel hawezi kuipiga Iran hata siku moja π π π .....Porojo hzi mbona anasema fika mpaka anashangaa ..
Hutakiwi kujua Adui anashanbulia kutokea wapi
Pole tafuta pakufichia kobazi zakoIsrael hawezi kuipiga Iran hata siku moja π π π .....Porojo hzi mbona anasema fika mpaka anashangaa ..
Mmeshindwa vita mnaanza kuwapa hope wanatambua taifa la Munguπ π π