Live coverage on JamiiForums
Hahahah naona unaota tazama hawa
Hahaha naona shoga mkuu umeingia
David and Jonathan. “After David had finished talking with Saul, Jonathan became one in spirit with David, and he loved him as himself.” (1 Samuel 18:1) David says of Jonathan: “Your love for me was wonderful, more wonderful than that of women.” (2 Samuel 1:26)
 
Huyo anaupigia debe ushoga!
Noted mkuu.
Nashangaa wanapohusisha dhambi hiyo na imani ya kikristo, wakati kuna waislam wengi tu wana practice huo ujinga. Ni vizuri watambue kuwa imani na tabia ya jamii flani ni vitu viwili tofauti.
Mfano IsIs ni waislamu na wanatumia maandikao ya quran kuhalalisha wanachokifanya. Lakini kuna baadhi ya islamic community wanapingana nao.
 
Endelea kuupigia debe ushoga!
👇👇
MUNGU wa Wakristo AMEHUKUMU HIVI KWA WANAO FIRANA!
👇🏽👇🏽
Mambo ya Walawi 20:13 Tena mtu mume akilala pamoja na mtu mume, kama alalavyo na mtu mke, wote wawili wamefanya machukizo; hakika watauawa; damu yao itakuwa juu yao.

1 Wakorintho 6:9 Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti.

Ukiniwekea Hukumu aliyohukumia muham mad aka allah Kwa wanaopumuliana Tuwekeane Miadi Unipige shahada Kwa Kwa kinywa chako!
Nakuwekea Ushahidi!; muham mad aka allah Anasema!; yeye ana msamaha na huruma hivyo Kwa wanaume wanafirana wakitengenea waacheni!
👇🏽👇🏽
وَاللَّذَانِ يَأْتِيَانِهَا مِنكُمْ فَآذُوهُمَا ۖ فَإِن تَابَا وَأَصْلَحَا فَأَعْرِضُوا عَنْهُمَا ۗ إِنَّ اللَّهَ كَانَ تَوَّابًا رَّحِيمًا

(AN-NISAAI - 16)
Na wawili kati yenu wafanyao hayo waadhibuni. Na wakitubia wakatengenea basi waacheni. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa kupokea toba, Mwenye kurehemu.

Hata huku kwetu Uswazi unaitwa mchezo wa kisilamu wanakunjuana Malinda vutu Kama nje nje kama maandazi!🙄😜
 
Hao wanaozungumzwa hapo ni wazinifu mwanaume na mwanamke je siku hizi umekua taqia au ushkga umekutawala kama huyu
David and Jonathan. “After David had finished talking with Saul, Jonathan became one in spirit with David, and he loved him as himself.” (1 Samuel 18:1) David says of Jonathan: “Your love for me was wonderful, more wonderful than that of women.” (2 Samuel 1:26)
 
Hao wanaozungumzwa hapo ni wazinifu mwanaume na mwanamke je siku hizi umekua taqia au ushoga umekutawala kama hawa
David and Jonathan. “After David had finished talking with Saul, Jonathan became one in spirit with David, and he loved him as himself.” (1 Samuel 18:1) David says of Jonathan: “Your love for me was wonderful, more wonderful than that of women.” (2 Samuel 1:26)
 
Issue ni kua baadhi ya makanisa na hata Papa wanaubariki ushoga
Kwa hio ukristo na ushoga njia yao ni moja ,.wazee wa mito ya baraka
 
Leta habar sheghe kabla gahawa haijapoa.
  1. Saa 1 iliyopitaHabari za hivi punde,Hezbollah yarusha makombora zaidi ya 100 kaskazini mwa Israel​

    Hezbollah wanasema wamerusha makombora kuelekea miji ya Haifa na Krayot kaskazini mwa Israel, wakisema kuwa wamerusha "safu kubwa ya makombora".
    Jeshi la Israel pia lilisema liligundua kurushwa kwa roketi 85 kutoka Lebanon mara baada ya saa sita mchana, na nyingi kati ya hizo zilinaswa lakini "ajali kadhaa ziligunduliwa katika eneo hilo".
    Makombora mengine 20 yalibainika yakivuka kutoka Lebanon kwenda katika eneo la Israel.
    Huduma ya gari la wagonjwa ya Magen David Adom ya Israel inasema mwanamke mwenye umri wa miaka 70 alijeruhiwa na wakati ilisambaza video inayoonesha jengo lililogongwa.
    Vyombo vya habari vya Israel pia viliripoti kuwa jengo la Kiryat Yam huko Haifa limeharibiwa.
    Haifa, jiji la tatu kwa ukubwa nchini humo, lina wakazi wapatao robo milioni. Iilipigwa jana kwa mara ya kwanza katika kipindi cha karibu miaka 20.
 

Attachments

  • BBC Swahili.jpg
    95 KB · Views: 1

View: https://x.com/Osint613/status/1843646229479338364
Kuna watu walisema Israel hawezi tia mguu Lebanon.

Yaani Bora Hamas kuliko Hawa Hezbollah
 

‘If the enemy continues its war, the battlefield will decide’: Hezbollah​


The Lebanese armed group’s deputy leader Naim Qassem says he supports attempts by Speaker of Parliament Nabih Berri, a Hezbollah ally, to secure a halt to fighting with Israel.
It wasn’t clear whether this signalled any change in stance after a year in which Hezbollah said it’s fighting in support of Palestinians in war-battered Gaza and won’t stop without a truce there.
“In any case, after the issue of a ceasefire takes shape, and once diplomacy can achieve it, all of the other details can be discussed and decisions can be taken,” Qassem said. “If the enemy [Israel] continues its war, then the battlefield will decide.”

Kiongozi wa Hezbollah katema bungo FaizaFoxy
 
Mbona sioni alipo tema bungo.
 
The Lebanese armed group’s deputy leader Naim Qassem says he supports attempts by Speaker of Parliament Nabih Berri, a Hezbollah ally, to secure a halt to fighting with Israel.
Ndo maana nikakwambia sijaona alipo tema bungo maelezo yamekamilika.

(In any case, after the issue of a ceasefire takes shape, and once diplomacy can achieve it, all of the other details can be discussed and decisions can be taken,” Qassem said. “If the enemy [Israel] continues its war, then the battlefield will decide.”)
 
Amemaanisha ana mawazo tofauti na Nasrallah ambaye alisema hatoacha ujinga wake hadi Israel itoke Gaza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…