Warumi.....Wasanii wengi walikuwa hawajui makazi halisi ya marehemu.....usiwahukumu kwa huu msiba wa juzi kati.
Nadhani ulikosea timing tu...by the time wanajikusanya,wewe ukawa umesepa.
Tena wengi walikua wanacheka Mtitu anaweka shada kaburini huku anabasamu lol utafikiri yupo kwenye graduation
Tena wengi walikua wanacheka Mtitu anaweka shada kaburini huku anabasamu lol utafikiri yupo kwenye graduation
halafu warumi hakuzungumzia leaders,ye alizungumzia nyumbani kwa marehemu,kulikuwa na watu wachache tofauti na misiba mingine.Sema mijitu mizima hovyoo inaleta umbea long live warumiiiiiiiiiii!
kweli wewe chiboko, ulikuta magari 10 na watu 8? nadhani magari mengine yaliletwa na break down.Yes nadhani uko sahihi kwa kiasi chake, ila msiba ulishatangazwa utakuwa nyumbani kwa marehemu(kwa mke wake) bunju, na mimi nilienda jumamos usiku kama saa tatu ivi, yaani ki ukweli sidhan hat kama majiran walikuwepo, nilikuta watu wasiozid nane tu na magar yasiozid kumi kwenye msiba hakuna cha bongo movie niliyemuona wala comedian
Ha ha ha ha jamen labda yalikuwa ya pale palekweli wewe chiboko, ulikuta magari 10 na watu 8? nadhani magari mengine yaliletwa na break down.
Ha ha ha ha jamen labda yalikuwa ya pale pale
eti yaliketwa na break dowm umenchekesha mie
Ha ha ha ha jamen labda yalikuwa ya pale pale
eti yaliketwa na break dowm umenchekesha mie