Pre GE2025 Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Ni Mbowe au Lissu

  • Mbowe

    Votes: 179 14.7%
  • Lissu

    Votes: 1,038 85.3%

  • Total voters
    1,217
  • Poll closed .

Zile drama zote ni dharau dhidi ya Watanzania, tunapaswa kuwaadhibu.
 
Mkongwe, umeachana na matumizi ya Kiswahili siku hizi?
 
Tunasuka team kimya kimya na kwa umakini sana.
Huku TAL, kule Mwabukusi. Mwishoni CCM watastukia wamewekwa mtu kati kama wanajesgi wa ukraine.
Kenge hasikii mpaka Damu,

Imagine kule TLS ni Mwabukusi.

Kwa kizazi Cha 1990 ?.


Dola ijiamgalie mara mbili mbili kuanzia Sasa kabla ya kuendelea kuibeba CCM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…