Pre GE2025 Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Pre GE2025 Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Ni Mbowe au Lissu

  • Mbowe

    Votes: 179 14.7%
  • Lissu

    Votes: 1,038 85.3%

  • Total voters
    1,217
  • Poll closed .
Ili wafae lazima wapambane kutuaminisha wanafaa

Kama nyerere na kina Mandela walivyofanya

Sio kulialia kama watoto wadogo
Unaniangusha tena Mama D migogoro hata CCM ipo, kunapokuwa na mabadiliko hayo hayaepukiki, mimi sina chama chochote ila kuna muda natamani upinzani waongoze nchi tuone uwezo wao pia, narudia tena hili linawezekana wananchi wakiachwa waamue kama demokrasia inavyotaka.

Mbona CCM wakulialia wapo wengine mpaka machozi hayatoki sasa hivi yamekauka, hayo mambo hayana mbabe na unalijua hili, maana usipolia mbele za watu utalia chumbani alone 😁

Mama D 🎤
 
-Matawi ya chama yatastawi
-Fedha zitafika matawini
-mabaraza yatapata migawo yao kwa wakati
-Matawi mapya zaidi yatafunguliwa
-Uhakiki wa wanachama hai wa chadema
-kuongeza wanachama zaidi
##CHADEMA WABAKI KAMA WAKOSOAJI TU, BADO SANA KUWEZA KUPEWA NCHI HII ##
 
Ongella ndugu Lisu kwa Ushindi wa haki yawezekana kuna kitu wanachi wanakudai na ujawalipa ndio mana mungu anatuonesha maaajabu mengi kukuusu maisha yako kwendea kwa wananchi kuna sili imejificha mungu akuongoze zaid na akupe busala zaid, Ongella sana mzee mbowe umetisha ktk kuifadhi muonekano wa upinzani nchini naamin ungeweza kutumia mbinu zaid ungeshinda lkn ukawaza zaid Atma ya upinzani imagin yake itakuwaje Ongella umeacha upinzani ubaki na heshima yake kwagalama za kukubali kuaibika wewe binafsi,,, asante mzee mbowe
 
Sote ni mashuhuda kwamba Freeman Aikaeli Mbowe anaungwa mkono na wajumbe wa mkutano mkuu wengi zaidi ya mgombea uenyekiti mwingine yeyote wa chadema, na kwahivyo anakwenda kushinda uchaguzi huu kwa kishindo.

Tayari visingizio kutoka kwa wapambe wa wagombea wanaowafungia wajumbe wao kwenye nyumba za kulala wageni, huku wakikosa kujua ratiba na kinachoendelea kwenye ukumbi wa uchaguzi, wameanza kupiga mayowe ya kushindwa, kanakwamba kuna rafu za uchaguzi hali ya kua wanajitakia wenyewe. Ni vichekesho na makusudi ya kujitakia tu, eti mpaka sasa kuna wajumbe hawajasajiliwa na hawana vitambulisho, wamefungiwa ndani tu.

Prof. Kitila Mkumbo amebainisha wazi kwa umma kupitia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kwmba, Freeman Aikaeli Mbowe hawezi kugombea nafasi ya uongozi ambayo hatashinda.

Ni muhimu sana wadau wa JF na wanachadema kwa ujumla, kuzingatia kauli hii ya kitaalamu kutoka kwa mwanafalsafa huyu wa siasa za Tanzania.

Kila la kheri wajumbe,
Kila la kheri Mbowe na Asanti Lisu kwa kushiriki uchaguzi wa chadema ngazi ya taifa.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Unaumia ukiwa wapi mda huu
 
Back
Top Bottom