bonjov
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,100
- 2,491
Unaniangusha tena Mama D migogoro hata CCM ipo, kunapokuwa na mabadiliko hayo hayaepukiki, mimi sina chama chochote ila kuna muda natamani upinzani waongoze nchi tuone uwezo wao pia, narudia tena hili linawezekana wananchi wakiachwa waamue kama demokrasia inavyotaka.Ili wafae lazima wapambane kutuaminisha wanafaa
Kama nyerere na kina Mandela walivyofanya
Sio kulialia kama watoto wadogo
Mbona CCM wakulialia wapo wengine mpaka machozi hayatoki sasa hivi yamekauka, hayo mambo hayana mbabe na unalijua hili, maana usipolia mbele za watu utalia chumbani alone 😁
Mama D 🎤