Konda wa bajaj
JF-Expert Member
- Sep 10, 2024
- 604
- 918
Hao ni sikio la kufaNaam
Ujinga nao ni kipaji.
Bubujikwa na mikojo we kadakwanza kabisa ieleweke kwa wadau kwamba siwezi kuumizwa na kitu kisichoumiza,
Lakini pili,
ni mapema mno kuzungumza chochote, ila kwa kifupi tu Chadema imeinguliwa na mapepo ya mafarakano, kiburi na midomo makelele 🐒
Hongera Tundu hakikisha kanda ya kati inatawaliwa na CHADEMA ubunge na udiwaniSina hakika. Nauona huu chaguzi ni kati ya RUSHWA VS KUJITAMBUA.
wajumbe wengi wa chadema wanaishi maisha below the poverty line. Uwezekano mkubwa ni rushwa itashinda
kuna watu ubongo wenu upo kwenye utumbo mpana mafi yapo kichwaniHarusi za Kiislam hazina gharama sana lakini kashata na harua huwa ni lazima ziwepo. Kwa uchaguzi katika zama hizi huwezi kuepuka matumizi ya pesa. Kampeni za Mh.Lissu zimetumia pesa pia na pesa hizi zimetolewa na diaspora na wana CCM wenye dhamira ya kuwepo kwa fomu ziadi ya moja ili wapambane na Samia.
wana CCM wenye dhamira ya kuwepo kwa fomu ziadi ya moja ili wapambane na Samia ziadi ya chokochoko ndani ya CCM waliwekeza kwa Mh. Lissu kwa malego kuwa ikiwa atashida ataleta hofu kwa Samia. CCM kwa weledi wao wakawahi na kumaliza mchezo kabla ya uchaguzi wa CHADEMA. Katika hali hiyo, ikapinda kuongez amshiko na kuwezesha ushindi wa Mh. Lissu.
Sasa wataka fomu mbili inabidi waende kwa Mh. Lissu mazima kufaidi uwekezaji wao. Kwam mda uliopo kabla ya uchaguzi tutarajie hamahama
Kuna watu vichwa vyao ni kama buyu kubwa la kuhifadhia kamasi.Harusi za Kiislam hazina gharama sana lakini kashata na harua huwa ni lazima ziwepo. Kwa uchaguzi katika zama hizi huwezi kuepuka matumizi ya pesa. Kampeni za Mh.Lissu zimetumia pesa pia na pesa hizi zimetolewa na diaspora na wana CCM wenye dhamira ya kuwepo kwa fomu ziadi ya moja ili wapambane na Samia.
wana CCM wenye dhamira ya kuwepo kwa fomu ziadi ya moja ili wapambane na Samia ziadi ya chokochoko ndani ya CCM waliwekeza kwa Mh. Lissu kwa malego kuwa ikiwa atashida ataleta hofu kwa Samia. CCM kwa weledi wao wakawahi na kumaliza mchezo kabla ya uchaguzi wa CHADEMA. Katika hali hiyo, ikapinda kuongez amshiko na kuwezesha ushindi wa Mh. Lissu.
Sasa wataka fomu mbili inabidi waende kwa Mh. Lissu mazima kufaidi uwekezaji wao. Kwam mda uliopo kabla ya uchaguzi tutarajie hamahama
Huna akili
Inakuuma,Huna akili ww, kwahy dunia mzima hawajalala? Em acha bangi hizo
Jana uliaminisha Umma kuwa Mbowe ameshashinda nafasi ya uwenyekiti Chadema na kwa sasa upo live wananchi wanataka wakuskie vipi unazungumziaje kauli yako hiyo uliyotoa kabla ya matokeo 🎤kwanza kabisa ieleweke kwa wadau kwamba siwezi kuumizwa na kitu kisichoumiza,
Lakini pili,
ni mapema mno kuzungumza chochote, ila kwa kifupi tu Chadema imeinguliwa na mapepo ya mafarakano, kiburi na midomo makelele 🐒
Lisu kapata Kura ngapi?Wakuu,
Leo mbali na kuwa ni Uchaguzi Mkuu wa CHADEMA pia wanasherekea Miaka 32 ya CHADEMA kupata Usajili wa Kudumu, ambapo ulipatikana Januari 21, 1993.
Mbivu na mbichi kujulikana leo, tumeona mengi na kusikia mengi kila upande ukitetea kwake. Je, nani ataibuka kidedea? Nani atatolewa kimasomaso na wajumbe?
Katika uchaguzi huu wajumbe watachagua Mwenyekiti Taifa pamoja na Makamu Mwenyekiti kwa Bara na Zanzibar, ambako ushindani mkubwa upo kati ya Mbowe na Lissu kwa nafasi ya Uenyekiti, na Wenje na Heche kwa nafasi ya Umakamu Uenyekiti.
Je, ni Mbowe au Lissu? Ni Heche au Wenje?
Orodha ya Wagombea wote ni;
Mwenyekiti Taifa
Makamu Mwenyekiti Bara
- Freeman Mbowe
- Odero Odero
- Tundu Lissu
Makamu Mwenyekiti Zanzibar
- Ezekia Wenye
- John Heche
- Mathayo Gekul
- Hafidh Saleh
- Said Issa Mohammed
- Said Mzee Said
- Suleiman Makame Issa
Wagombea Wanatoa Salamu kwa Wageni Waalikwa na Wapiga Kura
Tundu Lissu
Lissu amshukuru Mwenyekiti wa Chama, Freeman Mbowe kwa kufanya nae kazi kwa kipindi cha miaka 20, licha ya kutofautiana kimitazamo lakini amekiri hawajawahi kugombana.
"Nimekaa pembeni ya Mwenyekiti wetu wa Chama mfululizo kwa miaka zaidi ya 20 na katika kipindi chote hicho hatajawahi kugombana, hatujawahi kupigana mimi na yeye binafsi. Ndio tumetofautiana kimsimamo lakini hatujawahi kugombani"
"Vyovyote itakavyokuwa leo, tutakuwa pamoja katika kukijenga chama chetu (Chadema)"
Freeman Mbowe
"Hiki chama tunawajibu wote wa kibinadamu na Wakimungu wakukilinda kwa gharama yoyote ile, na chama hiki hatutakiruhusu kwa gharama yoyote eti kwasababu pengine kura za mbowe hazikutosha au kura za Mhe. Lissu hazikutosha ama za Mhe. Odero yule mzee wetu wa kesho kuna mwanga kwamba kura hazijatosha".
"Uchaguzi huu usiwe vita unapashwa kuwa furaha ya ujenzi wa demokrasia"
"Wako watabiri wengi sana wamesema kuhusu uchaguzi wa CHADEMA, Mhe. Mbowe unaenda kukipasua chama, Mhe. Mbowe inakuaje, hawa ni wanademokrasia, wote kama mnavyowaona. Tofauti zetu kwenye mitazamo hii naamini tunakwenda kuizika mwisho wa kikao hiki tunanelea mbele stronger together"
Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika, ametoa taarifa kwa ufupi kuhusiana na hali halisi ya Uchaguzi Mkuu wa Wabunge na Urais wa mwaka 2020.
Mnyika asoma maazimio ya kamati kuu kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa (2024), ambapo yatapelekwa Mkutano Mkuu kwaajili ya kupendekezwa kupitishwa kama maadhimio ya mkutano mkuu wa chama.
Mnyika amehitimisha kwa kuwasilisha mapendekezo ya maazimio ya Mkutano Mkuu
Zoezi la uhakiki wa Wajumbe
Shughuli za uhakiki wa wajumbe wa mkutano mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) zinaendelea katika ukumbi wa Mlimani City.
Uhakiki huo unaongozwa na Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika na kukamilika kwake kutaashiria kuanza kwa uchaguzi wa nafasi za uenyekiti na makamu wa chama hicho Taifa.
Wajumbe 996 wathibitishwa ni halali, zoezi la kura kuanza.
Update
Updates za Matukio
- Mwamakula: Wajumbe wameambiwa kuipiga picha au kuweke alama karatasi ya kura kama ushahidi wa kuongezewa pesa baadaye
- Jumla ya wajumbe wanaoenda kupiga kura ni 996, zoezi la kupiga kura linaanza muda wowote kuanzia sasa
- Frank Mwakajoka kachaguliwa kuwa mwenyekiti wa uchaguzi
- Mgombea Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar: Vijana walipewa nafasi ya kukiongoza chama hawakufanya kitu
Hata Wenje,Boni Yai na makundi yaliyotokama na mbilinge mbilinge la chaguzi tupandishe tanga safari iendelee,mawimbi ni mengi ila ushindi dhidi ya mawimbi yasiyoya asili na yakutengenezwa ni wetu.Kamwe adui tusimpe nafasi.tuondoe tofauti zetu namkaribisha yeriko nyerere aendelee kuwa mstari wa mbele kabisa
Arudi alikotolewa kwa mkopo kwa sababu ya uchaguzi wetu.Bubujikwa na mikojo we kada