Pre GE2025 Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Pre GE2025 Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Ni Mbowe au Lissu

  • Mbowe

    Votes: 179 14.7%
  • Lissu

    Votes: 1,038 85.3%

  • Total voters
    1,217
  • Poll closed .
MWAKA 1961 TANGANYIKA IKIPATA UHURU.

BABA WA TAIFA ALIWATAJA MAADUI WAKUU WA TATU WA TAIFA.
1. UMASIKINI.
2. UJINGA.
3. MARADHI.

AKAMALIZA KWA KUSEMA "MAADUI HAWA NI MAADUI KWELI KWELI NA SI MAADUI WA DHIHAKA"
JK NYERERE
 
Ujinga nao ni kipaji.
1737551663993.png
 
kwanza kabisa ieleweke kwa wadau kwamba siwezi kuumizwa na kitu kisichoumiza,


Lakini pili,
ni mapema mno kuzungumza chochote, ila kwa kifupi tu Chadema imeinguliwa na mapepo ya mafarakano, kiburi na midomo makelele 🐒
Bubujikwa na mikojo we kada
 
Sina hakika. Nauona huu chaguzi ni kati ya RUSHWA VS KUJITAMBUA.
wajumbe wengi wa chadema wanaishi maisha below the poverty line. Uwezekano mkubwa ni rushwa itashinda
Hongera Tundu hakikisha kanda ya kati inatawaliwa na CHADEMA ubunge na udiwani
 
Harusi za Kiislam hazina gharama sana lakini kashata na harua huwa ni lazima ziwepo. Kwa uchaguzi katika zama hizi huwezi kuepuka matumizi ya pesa. Kampeni za Mh.Lissu zimetumia pesa pia na pesa hizi zimetolewa na diaspora na wana CCM wenye dhamira ya kuwepo kwa fomu ziadi ya moja ili wapambane na Samia.
wana CCM wenye dhamira ya kuwepo kwa fomu ziadi ya moja ili wapambane na Samia ziadi ya chokochoko ndani ya CCM waliwekeza kwa Mh. Lissu kwa malego kuwa ikiwa atashida ataleta hofu kwa Samia. CCM kwa weledi wao wakawahi na kumaliza mchezo kabla ya uchaguzi wa CHADEMA. Katika hali hiyo, ikapinda kuongez amshiko na kuwezesha ushindi wa Mh. Lissu.
Sasa wataka fomu mbili inabidi waende kwa Mh. Lissu mazima kufaidi uwekezaji wao. Kwam mda uliopo kabla ya uchaguzi tutarajie hamahama
kuna watu ubongo wenu upo kwenye utumbo mpana mafi yapo kichwani
 
Harusi za Kiislam hazina gharama sana lakini kashata na harua huwa ni lazima ziwepo. Kwa uchaguzi katika zama hizi huwezi kuepuka matumizi ya pesa. Kampeni za Mh.Lissu zimetumia pesa pia na pesa hizi zimetolewa na diaspora na wana CCM wenye dhamira ya kuwepo kwa fomu ziadi ya moja ili wapambane na Samia.
wana CCM wenye dhamira ya kuwepo kwa fomu ziadi ya moja ili wapambane na Samia ziadi ya chokochoko ndani ya CCM waliwekeza kwa Mh. Lissu kwa malego kuwa ikiwa atashida ataleta hofu kwa Samia. CCM kwa weledi wao wakawahi na kumaliza mchezo kabla ya uchaguzi wa CHADEMA. Katika hali hiyo, ikapinda kuongez amshiko na kuwezesha ushindi wa Mh. Lissu.
Sasa wataka fomu mbili inabidi waende kwa Mh. Lissu mazima kufaidi uwekezaji wao. Kwam mda uliopo kabla ya uchaguzi tutarajie hamahama
Kuna watu vichwa vyao ni kama buyu kubwa la kuhifadhia kamasi.
 
1.Wafuasi
Vijana
2.Uchumi
wanachukia wawekezaji
3.Haki za binadamu
Wanatetea haki za binadamu ukiwemo ushoga
4. Mihemuko
wanapenda siasa za mihemuko
 
kwanza kabisa ieleweke kwa wadau kwamba siwezi kuumizwa na kitu kisichoumiza,


Lakini pili,
ni mapema mno kuzungumza chochote, ila kwa kifupi tu Chadema imeinguliwa na mapepo ya mafarakano, kiburi na midomo makelele 🐒
Jana uliaminisha Umma kuwa Mbowe ameshashinda nafasi ya uwenyekiti Chadema na kwa sasa upo live wananchi wanataka wakuskie vipi unazungumziaje kauli yako hiyo uliyotoa kabla ya matokeo 🎤
 
Wakuu,

Leo mbali na kuwa ni Uchaguzi Mkuu wa CHADEMA pia wanasherekea Miaka 32 ya CHADEMA kupata Usajili wa Kudumu, ambapo ulipatikana Januari 21, 1993.


Mbivu na mbichi kujulikana leo, tumeona mengi na kusikia mengi kila upande ukitetea kwake. Je, nani ataibuka kidedea? Nani atatolewa kimasomaso na wajumbe?

Katika uchaguzi huu wajumbe watachagua Mwenyekiti Taifa pamoja na Makamu Mwenyekiti kwa Bara na Zanzibar, ambako ushindani mkubwa upo kati ya Mbowe na Lissu kwa nafasi ya Uenyekiti, na Wenje na Heche kwa nafasi ya Umakamu Uenyekiti.


Je, ni Mbowe au Lissu? Ni Heche au Wenje?

Orodha ya Wagombea wote ni;

Mwenyekiti Taifa
  • Freeman Mbowe
  • Odero Odero
  • Tundu Lissu
Makamu Mwenyekiti Bara
  • Ezekia Wenye
  • John Heche
  • Mathayo Gekul
Makamu Mwenyekiti Zanzibar
  • Hafidh Saleh
  • Said Issa Mohammed
  • Said Mzee Said
  • Suleiman Makame Issa


Wagombea Wanatoa Salamu kwa Wageni Waalikwa na Wapiga Kura

Tundu Lissu


Lissu amshukuru Mwenyekiti wa Chama, Freeman Mbowe kwa kufanya nae kazi kwa kipindi cha miaka 20, licha ya kutofautiana kimitazamo lakini amekiri hawajawahi kugombana.

"Nimekaa pembeni ya Mwenyekiti wetu wa Chama mfululizo kwa miaka zaidi ya 20 na katika kipindi chote hicho hatajawahi kugombana, hatujawahi kupigana mimi na yeye binafsi. Ndio tumetofautiana kimsimamo lakini hatujawahi kugombani"

"Vyovyote itakavyokuwa leo, tutakuwa pamoja katika kukijenga chama chetu (Chadema)"

Freeman Mbowe

"Hiki chama tunawajibu wote wa kibinadamu na Wakimungu wakukilinda kwa gharama yoyote ile, na chama hiki hatutakiruhusu kwa gharama yoyote eti kwasababu pengine kura za mbowe hazikutosha au kura za Mhe. Lissu hazikutosha ama za Mhe. Odero yule mzee wetu wa kesho kuna mwanga kwamba kura hazijatosha".

"Uchaguzi huu usiwe vita unapashwa kuwa furaha ya ujenzi wa demokrasia"

"Wako watabiri wengi sana wamesema kuhusu uchaguzi wa CHADEMA, Mhe. Mbowe unaenda kukipasua chama, Mhe. Mbowe inakuaje, hawa ni wanademokrasia, wote kama mnavyowaona. Tofauti zetu kwenye mitazamo hii naamini tunakwenda kuizika mwisho wa kikao hiki tunanelea mbele stronger together"

Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika, ametoa taarifa kwa ufupi kuhusiana na hali halisi ya Uchaguzi Mkuu wa Wabunge na Urais wa mwaka 2020.

Mnyika asoma maazimio ya kamati kuu kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa (2024), ambapo yatapelekwa Mkutano Mkuu kwaajili ya kupendekezwa kupitishwa kama maadhimio ya mkutano mkuu wa chama.

Mnyika amehitimisha kwa kuwasilisha mapendekezo ya maazimio ya Mkutano Mkuu

Zoezi la uhakiki wa Wajumbe

Shughuli za uhakiki wa wajumbe wa mkutano mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) zinaendelea katika ukumbi wa Mlimani City.

Uhakiki huo unaongozwa na Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika na kukamilika kwake kutaashiria kuanza kwa uchaguzi wa nafasi za uenyekiti na makamu wa chama hicho Taifa.

Wajumbe 996 wathibitishwa ni halali, zoezi la kura kuanza.

Update


Updates za Matukio

Lisu kapata Kura ngapi?
 
tuondoe tofauti zetu namkaribisha yeriko nyerere aendelee kuwa mstari wa mbele kabisa
Hata Wenje,Boni Yai na makundi yaliyotokama na mbilinge mbilinge la chaguzi tupandishe tanga safari iendelee,mawimbi ni mengi ila ushindi dhidi ya mawimbi yasiyoya asili na yakutengenezwa ni wetu.Kamwe adui tusimpe nafasi.
 
Back
Top Bottom