Impe na Uwenyekiti pia, hiyo karata ya mtu kugombea Urais Mbowe anaipenda sana, as long as haugusi kiti 'chake'. Chadema watarudi kwa nguvu kubwa kama wakimpa Lissu both kiti na urais.CHADEMA pia imteue Lissu agombanie Uraisi wa Tanzania/Tanganyika ✌️
Nchi nzima inamtaka Lissu.
View: https://youtu.be/CGABybd9-eQ?si=-kNEvav89WZ5Jxy3
Mimi niko tangu tunatafuta usajiri mpaka sasa, hivyo naelewa unavyodhani wewe mkongwe.Mimi very active toka 2009 wakati wewe unanyonya ..! Na niko active sio mwanachama mfu...wewe ni mchaga usibishe
Tunamshukuru sana lakini kwasasa tunahitaji siasa kali dhidi ya Samia kwasababu 4R ni ulaghai mtupu.Sijasema Mbowe kaiwezesha chadema, ninasema strategies za Mbowe na team yake zimeijenga chadema kufika ilipo.
Hawezi kuwa mwenyekiti akafanya siasa kali, siasa kali alipaswa azifanye alipokuwa makamu mwenyekiti.Tunamshukuru sana lakini kwasasa tunahitaji siasa kali dhidi ya Samia kwasababu 4R ni ulaghai mtupu.
Mkuu, nasikia kupiga kura wanaanza saa tano na nusu usiku.Nani kaibuka kidedea kati ya Mbowe na Lisu?
Hakuna kinachomzuia Lissu kufanya siasa kali katiba zote zinamruhusu.Hawezi kuwa mwenyekiti akafanya siasa kali, siasa kali alipaswa azifanye alipokuwa makamu mwenyekiti.
Bila kumsahau mwanae Mbowe kwa tiketi ya Sisiemu 2080.kwa taarifa yako mbowe sasa hivi hana cha kupoteza hapo kwake cha kupoteza ni kuikosa chadema kuwa mwenyekiti lakini baada ya hapo hana cha kupoteza hata wahame wote atabaki na chama chake provided atapata na wabunge kadhaa anaendelea kula ruzuku kialini lissu ana haha huko chauma kutafuta urais ambao hataupata 2030 ni nchimbi 2040 makamba 2050 nnauye 2060 mtoto wa makamba
Nchi hii haina sheria wala katiba, nchi hii inaongozwa kiimla, anachosema Samia ikulu ndiyo sheria na ndiyo katiba.Hakuna kinachomzuia Lissu kufanya siasa kali katiba zote zinamruhusu.
Duh aiseeMkuu, nasikia kupiga kura wanaanza saa tano na nusu usiku.
Ndio sasa People's Power itatumika.Nchi hii haina sheria wala katiba, nchi hii inaongozwa kiimla, anachosema Samia ikulu ndiyo sheria na ndiyo katiba.
Hata kama Mbowe ni mjinga kiasi hicho huu utoto hawezi fanya!! Tito mhuni tuu wanaandaa mazingira ya kushindwa.Mkuu hii ni January, tusiwalaumu sana😏View attachment 3208785View attachment 3208787
Siasa kali plus backup ya chama akiwa Mwenyekiti, mwongoza njia.Hawezi kuwa mwenyekiti akafanya siasa kali, siasa kali alipaswa azifanye alipokuwa makamu mwenyekiti.
Hahaha people gani sasa, na power ipi?Ndio sasa People's Power itatumika.
Hahaha unaleta utani wewe.Siasa kali plus backup ya chama akiwa Mwenyekiti, mwongoza njia.