Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Hapana, mkuu. Anashangiliwa labda kwa zile nondo zake twitani. Naona kila mwana CDM anashangiliwa. Makelele yasikuzuzue.Lema ameingia hapa ameshangiliwa? Inaonekana wajumbe wote ni Team Lissu.