johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Na Makampuni ya kubet yameandaa mikeka KabisaView attachment 3209135
Watu wapo bize na kazi zao huku wanafuatilia mkutano wa CHADEMA.
Channel gani hii?View attachment 3209135
Watu wapo bize na kazi zao huku wanafuatilia mkutano wa CHADEMA.
Ipi hiyo inayoonekana hapo?Channel gani hii?
Mungu ibariki CHADEMA
Na watu wa Mbowe nao wanajiuliza hivi hivi kwa atakaempigia kura TunduHivi huyo atakayempigia kura Mbowe, mtu huyo atakuwa anawaza nini kichwani mwake? najaribu kuwaza kwa sauti
View attachment 3209135
Watu wapo bize na kazi zao huku wanafuatilia mkutano wa CHADEMA.
View attachment 3209157
Maneno ya wadau hayo.
Clouds wamerudiChannel gani hii?
Kituo gani cha televisheni wanaonesha hii kitu mkongwe?View attachment 3209135
Watu wapo bize na kazi zao huku wanafuatilia mkutano wa CHADEMA.
Seif alikuwa maarufu huko Zanzibar (ukubwa wa mkoa tu). Zaidi ni kuwa Maalimu hakupendwa kutokana na hoja ila aliwaunganisha Wazanzibar kupitia mrengo wa dini na wakamwamini, hakuwa na cha zaidi.CV ya Lissu ni kubwa sana ktk harakati za upinzani Tanzania. Naweza kusema huwezi kuwataja wapinzani wa CCM bila kumtaja Lissu. Licha ya huvyo Lissu hakumfikia marehemu Seif jinsi ya kuisumbua CCM.
Seif licha ya kutokuwa kiongozi mkuu wa Cuf yaani Mwenyekiti lkn aliitikisha sana CCM hadi kufikia miafaka zaidi ya 3 na hatimae ikaundwa serekali ya kitaifa.
Maalim alianziasha harakati za jino kwa jino lakini pia harakati za maridhiano.
Maalim alifariki akiwa na heshima kubwa ktk siasa za upinzani.
LISSU.
Lissu licha ya kuwa mpinzani lkn mtego aliongia ushammaliza kisiasa. Mtego wa kutaka kuisambaratisha chadema kupitia lema na Heche limemtoa kabisa ktk siasa za chadema.
Tumuombeeni sana Lissu ktk siasa za upinzani. Lilobaki aende CCM akamalizie maisha yake
Lissu nje ya chadema hawezi kuendesha siasa. Siasa za lissu litigemea chadema.
Kwa hivyo za kumuombea lissu baada ya kushindwa ni muhimu
Kwa bahati wanaotukana chadema hivi sasa wote wakiristo. Lissu mkiristo na mbowe mkiristoSeif alikuwa maarufu huko Zanzibar (ukubwa wa mkoa tu). Zaidi ni kuwa Maalimu hakupendwa kutokana na hoja ila aliwaunganisha Wazanzibar kupitia mrengo wa dini na wakamwamini, hakuwa na cha zaidi.
Waliokula fedha za watu wangeharibu kuraIngekuwa vyema sana kama Chadema wangefanya uchaguzi kidigitali. Yaani una cast your ballot 🗳 na inaonekana kwenye screen kubwa kuwa imeongezeka kwa nani na inapungua kwa nani.
Dah ..kwa tv!?Ukiona Bonyai walivyokaa na Lema wanapiga soga fresh utafikiri sio kambi mbili tofauti. 🤣