4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Mwacheni mzee wa watu apumzike, kila majira na nyakati zake, wewe leo ukipewa viatu vya yule mzee unaweza kuvivaa, yule Hakua ALFA NA OMEGA aliijua siasa .Seif alikuwa maarufu huko Zanzibar (ukubwa wa mkoa tu). Zaidi ni kuwa Maalimu hakupendwa kutokana na hoja ila aliwaunganisha Wazanzibar kupitia mrengo wa dini na wakamwamini, hakuwa na cha zaidi.
Nitolee upuuzi wako hapa.Nani amekuambia nimerejea alichoandika?
Ile kaka, kaka mara Broh, mara Mbowe ni Mchaga mwenzangu hamuogopi? 🤣🤣Wewe bwanaa unataka tuanze kuwaza vitu Gani tena lakini
Ondoa ndoto zako amka usije jikojolea kitandaniMshindi ashinde, yoyote tu kati yao.
🍿🍿🍿
Maana wanajua L na M, tayari wao nani wanataka awe Mwenyekiti
Nawapa pongezi nyingi kwa script waliyoandika na kufanyikiwa kutoa drama bombaaaaaa iliyoteka wengi wenu.
Ccm inawakilishwa na Bwana Lucas MwashambwaCCM haijatuma wawakilishi ili wakajifunze Demokrasia?
Majibu leo hii hii halali mtu mpka kieleweke;Majibu asubuhi
Ndio kusema kunaenda kwa abdul au?Hakika Lissu sasa making ya shingo, wana chadema wanaimba kwa sauti kuu wakisema chama chao hakitaenda ubelgiji.
Hizi dalili mbaya sana kwa Lissu ambaye ametumia mabilioni katika uchaguzi huu
Wasiwasi ndio akili mkuuSema kuna mawazo ya kijinga yananijia,Lissu kumpa Lema uwakala kama kakosea hivi, anyway ni ujinga wangu tu.Siasa ina mambo mengi unaweza kuta kelele za Lema ilikuwa strategic plan........😀
Akili hizi mzipuuze
Siasa ina mambo mengi sana mkuu.Wasiwasi ndio akili mkuu
Huna bundle uingie youtube? Juna TV uangalie?Huu uzi ungefungwa watoa updates wawe wachache. Naona kila mtu anajiandikia tu, hakuna updates za maana