Pre GE2025 Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Pre GE2025 Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Ni Mbowe au Lissu

  • Mbowe

    Votes: 179 14.7%
  • Lissu

    Votes: 1,038 85.3%

  • Total voters
    1,217
  • Poll closed .
Vipi matokeo ndiyo hayo yanayoonekana kwa ushindi wa asilimia 85 au mimi ndiye sijaelewa?
 

View: https://x.com/YerickoNyerereT/status/1881830330484871350
1737498529043.png
 
Wakuu,mbona kama Lissu amefanyiwa fujo za makusudi kwa kupigiwa makelele wakati anajiinadi na kujibu maswali?Je na Mbowe ilikuwa hivyo hivyo maana nimechelewa Mbowe sikumsikiliza..
 
Nipo Dodoma hapa bar moja ya wadosi naona simu zote zimewashwa data watu wanapiga chabo kinaendelea mlimani city.

Uzuri wa tukio hili hata wao wanashindwa kufahamu kati ya Mbowe na Lisu yupo atawapunguzia kazi kwenye uchaguzi mkuu?

Wewe huko
 
Back
Top Bottom