Emanueli misalaba
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 1,769
- 2,523
Nimei kwoti makusudi kabisa ili iwe rahisi kuipata baadaeHiyo ina 80Mb na hapo nimei compress mwanzo ilikuwa na 3.4GB
Mambo mengi sana. Mkutano muhimu kama huu ulipaswa ujielekeze kwenye mambo ya msingi tu.Sema ile Hotuba ya Katibu Mkuu imechangia sana kupoteza muda.
Wanajifunza pia kwa zama hizi za kidigitali tuseme katibu ni mzembeMambo mengi sana. Mkutano muhimu kama huu ulipaswa ujielekeze kwenye mambo ya msingi tu. Halafu muda wa kuanza shughuli yote ulikuwa umeenda sana.
Ulitakiwa uwepo mfumo mzuri wa kuwahakiki wajumbe kabla na baada ya leo. Kuitana majina haikuwa na sababu.
Kwenye kujieleza, hakukuwa na sababu yoyote ya kuwauliza maswali wagombea. Walipaswa tu kupewa dakika 5 kila mmoja - wajieleze na kuomba kura.
Taarifa za chama zilipaswa ziwe zimetolewa mapema kwa wajumbe wote kabla ya mkutano. Katibu alipaswa kufanya majumuisho tu ya mambo makuu.
Views hazipeleki mtu ikuluMpaka sasa CDM inaongoza kwa viewers YouTube zaidi ya ule mkutano wa matapeli maradufu
Kawaida kwa uzoefu weru ukiona kuna uchelewwshaji wa mambo ujue aliyeahikikia kiti huwa amekula za uso so inaangakiwa namna ya kufanyaUkiskia neno "mnyukano" kwenye uchaguzi basi shurti uende hadi asubuhi. Sio zile chaguzi za mshindi 99.9% matokeo saa kumi jioni
Lakini kwa namna nyingine naweza kusema wapo sahihi.Mambo mengi sana. Mkutano muhimu kama huu ulipaswa ujielekeze kwenye mambo ya msingi tu.
Halafu muda wa kuanza shughuli yote ulikuwa umeenda sana. Walipaswa kuanza saa tatu asubuhi. Kama wajumbe walifika tangu juzi (tarehe 20), kulikuwa na sababu gani kuchelewa kuanza mkutano?
Ulitakiwa uwepo mfumo mzuri wa kuwahakiki wajumbe kabla na baada ya leo. Kuitana majina haikuwa na sababu.
Kwenye kujieleza, hakukuwa na sababu yoyote ya kuwauliza maswali wagombea. Walipaswa tu kupewa dakika 5 kila mmoja - wajieleze na kuomba kura.
Taarifa za chama zilipaswa ziwe zimetolewa mapema kwa wajumbe wote kabla ya mkutano. Katibu alipaswa kufanya majumuisho tu ya mambo makuu.
Je kila mwanachama angepata hivyo vijitabu? Au wajumbe tu ndio wangepata?Katibu mkuu mimi sikumwelewa, hivi hawakuwa na vijitabu vya hotuba wakangawiwa watu badala ya kutumia muda mrefu?
Uko wapi u Smart wa Chandema
Weka makadirio yako ulipenda kuona unachukua muda gani?Walikuwa na muda wa kutosha kabisa kufanya maandalizi ya huo uchaguzi.
Walishindwa nini kupanga kufanya Mapema huo uchaguzi wao?
Yaani uchaguzi mdogo namna hiyo wa watu wasiozidi hata 5,000 unachukua muda wote huo?!!
Bad organization skills.
Au kuna figisu?
Nlishangaa pia, mtu anasoma likaratasi lina kurasa 100+Katibu mkuu mimi sikumwelewa, hivi hawakuwa na vijitabu vya hotuba wakangawiwa watu badala ya kutumia muda mrefu?
Uko wapi u Smart wa Chandema
Lakini pia kuna namna huu mkutano unafuatiliwa na watu wengi sana kutoka nje ya nchi hususan Diaspora ambao ni muhimili mkubwa wa Chama.Je kila mwanachama angepata hivyo vijitabu? Au wajumbe tu ndio wangepata?
Ripoti ya utekelezaji haiwahusu tu wajumbe waliohudhuria bali pia wanachama wote nchi nzima kwahiyo ilikuwa sahihi.
Fidel Castro aliwahi kutoa speech ya masaa 4 na dakika 29 UN. Kwani walishindwa kumuambia awagawie transcripts wasome ili waokoe muda?
CCM hawataki uchaguzi uwe huruViews hazipeleki mtu ikulu
Sasa mtu wa Marekani ambaye anafuatilia hiyo hotuba hayo yaliyomo kitabunj angeyajuaje?Nlishangaa pia, mtu anasoma likaratasi lina kurasa 100+
Lini uliwahi kua huru......uhuru utaishia hukohuko kwenye viewsCCM hawataki uchaguzi uwe huru
Kwani kabla ya zoezi muhimu kama hili, huwa hawafanyi vikao vya maandalizi? Maana kuna mambo ukiyatazama, hadi mwenyewe unashikwa hasira.Wanajifunza pia kwa zama hizi za kidigitali tuseme katibu ni mzembe
Kuna kitu kinaitwa executive summary!! Mambo ya msingi yote unayaongea kwa majumuisho sio unasoma neno kwa neno.Sasa mtu wa Marekani ambaye anafuatilia hiyo hotuba hayo yaliyomo kitabunj angeyajuaje?