DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Zoezi dogo ambalo walikuwa na muda wa kutosha kabisa kujiandaa nalo, linachukua siku na usiku mzima kulikamilisha!
Linakiasiki vibaya chama chao.
They’re not ready for prime time.
Imefanya kazi kubwa kwenye nini?Watu mnafananisha mambo tu ila kamati ya maandalizi imefanya Kazi kubwa.
Ktk kuandaaImefanya kazi kubwa kwenye nini?
hapana, john mnyika kwa kweli ameiangusha sana chadema. mimi binafsi sikutegemea kwamba kama hali ingekuwa kama hivi.
kama uchaguzi wa watu 1200 tu unachukua siku mbili, je, uchaguzi wa watu milioni nane ungechukua siku ngapi?
Kuna jambo halipo sawa,Chadema planning ya mkutano mkuu haiko sawa.Basi kuna dalili za shenanigans hapo….
Kwenye Ujinga na Kupotezea Watu muda....Absolutely NonsenseImefanya kazi kubwa kwenye nini?
11 mkuu kasoro 20Saa 10 hii
Lkn wengine tukubali au tukatae,, TL ndo kaleta ili vugu vugu,ambalo limesababisha CDM kuongelewa na kila mtu,hata ikitokea kashindwa apewe maua yake,jamaa katrend sana,na katrendisha chama chake sana..
Matokeo yapi wakati mshindi yule pale anacheka na kusema hiyo ndio chandemaMatokeo bado tu jamani
HaswaAise ngoja tusubirieeee
Maana kura za mtandaoni lissu
Anamkimbiza mbowe
Ngoja tuone huko kwenye box 😄
Ova
HakumnukiWajumbe sio watu unakumbuka walicho mfanya mdogo wako Makonda kule Kigamboni?
That's naked truthLkn wengine tukubali au tukatae,, TL ndo kaleta ili vugu vugu,ambalo limesababisha CDM kuongelewa na kila mtu,hata ikitokea kashindwa apewe maua yake,jamaa katrend sana,na katrendisha chama chake sana..