Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
At at an gazes nuruni sip gizani mkuu vuta subraNdio naamka sasa bado tu Lissu hawajamtangaza mshindi?🤔
HahahaWandewa walipokosa cha kukosoa kwenye ua zuri la rose (rose flower) walisema lakini lina miba
Mungu ibariki CHADEMA💪🏿🙏🏿❤❤💗💗
Kwa wanaoangalia live. Tupeni update, nasubiri matokeo hapa
hapana, john mnyika kwa kweli ameiangusha sana chadema. mimi binafsi sikutegemea kwamba kama hali ingekuwa kama hivi.Wandewa walipokosa cha kukosoa kwenye ua zuri la rose (rose flower) walisema lakini lina miba
Nilitaka kuuliza swalini ajabu sana, sasa hivi ni saa 8:06 usiku wa tarehe 22 Januari, 2025 lakini bado tu kura bado hazipigwa!? ni kweli kwamba walijiandaa kwa zoezi hilo?
inashangaza sana,Nilitaka kuuliza swali
Save hiyo posti yako. Asubuhi utalia sana.Nyie laleni. Mtaamka na "Mbowe Apeta kwa Kishindo"
Wape maua yao CHADEMA.yanayofanyika kwenye uchaguzi huu yana tofaufi gani na yale ambayo huwa yanafanyika kwenye chaguzi zile zinazosimamiwa na jecha?
like jecha like john mnyika!
, mmeshindwa kabisa kuonyesha mfano mzuri ambao ccm wangeweza kuiga kutoka kwenu. mmeshindwa kabisa. shame on you!
Zoezi dogo ambalo walikuwa na muda wa kutosha kabisa kujiandaa nalo, linachukua siku na usiku mzima kulikamilisha!inashangaza sana,
john mnyika kwa kweli ameiangusha sana chadema. mimi binafsi sikutegemea kwamba hali ingekuwa kama hivi.
kama uchaguzi wa watu 1200 tu unachukua siku mbili, je, uchaguzi wa watu milioni nane ungechukua siku ngapi?
Kumbuka haikuwa uchaguzi tu bali ilikuwa ni pamoja na CHADEMA DAY..fuatilia matukio ya tangu jana.. Trust me ameweza tena pakubwa mnohapana, john mnyika kwa kweli ameiangusha sana chadema. mimi binafsi sikutegemea kwamba kama hali ingekuwa kama hivi.
kama uchaguzi wa watu 1200 tu unachukua siku mbili, je, uchaguzi wa watu milioni nane ungechukua siku ngapi?
benki kuu waling'ang'ania kuchapa noti mpya kumbe ili wafanye ujinga wao huu. sura za watu wa mpito ni za Nini kuwekwa kwenye fedha zetu?Wosia wetu kwa vijana msifuatilie Siasa Fuatilia Hali Ya Hewaaaa. Hewaaaa
View attachment 3209469
Wosia wetu kwa vijana msifuatilie Siasa Fuatilia Hali Ya Hewaaaa. Hewaaaa
View attachment 3209471
Matokeo badooo hayatoka tuu
View attachment 3209480
Historia inaendelea kuandikwa.