Pre GE2025 Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Pre GE2025 Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Ni Mbowe au Lissu

  • Mbowe

    Votes: 179 14.7%
  • Lissu

    Votes: 1,038 85.3%

  • Total voters
    1,217
  • Poll closed .
Bado najiuliza hawa watu waliompigia kura Mbowe wametokea wapi?
Ni Watanzania wenzetu kweli?
Wale ni viongozi waliowekwa na Mbowe .
Ni sawa na mawaziri kupiga kura dhidi ya Rais . Hawawezi kumwamini mwingine anayekuja .
Na pia wamechukulia kama mpira wa simba na Yanga . Yaani watu wa mbowe kushindwa kwao ni kudhalilika .Watu wa Lisu kushindwa kwao ni anguko la chama na chama kudhalilika .

Mbowe amejipanga ndani ya wajumbe ila akishinda chama kitaanguka na wananchi hawatawaelewa viongozi . Nadhani Serikali itatoa fedha kusidia shughuli za Chadema maana wananchi hata kwenye mikutano hastaenda.
 
Haya mambo ya Kura za usiku Siyo ya kuamini Sana hasa kwa Siasa zetu za bongo na wizi wa Kura , Lisu inawezekana akawa mshindi lakini kuna nguvu kubwa ya Dola ya CCM na Fedha za Mbowe imetumika kuiba kura
Hayo Ni mawazo yako but kumbuka wapigaji wa Kura Ni wajumbe ambao Ni wanachama sio wananchi kwa ujumla,Mbowe Ni mwanasiasa mzoefu na ameshatengeneza network ndani ya chama kumshinda kwenye uchaguzi unahitaji maandalizi ya muda mrefu sio kwa kukurupuka Kama alivyofanya lissu.Ukiona mbowe anaingia kwenye uchaguzi ujue ana uhakika na ushindi na ndio maana akapendekeza uchaguzi uwe wa haki na fairness kwasababu anajua Lissu hawezi kumshinda.Mbowe Ni very smart sijui nyinyi mnamchukuliaje
 
Shida mnaongozwa na mihemko kuliko uhalisia hao wajumbe ndio wanajua vizuri mbowe na Lissu, mbowe ana muda mrefu sana ameshatengeneza network ndani ya chama hawezi kuangushwa kiboya na ndio maana akaona atashinda ndio maana anaingia kwenye uchaguzi hakukurupuka, Lissu kapumbazwa na kelele za nje zaidi ndicho kimemuangusha kushinda uchaguzi unahitaji maandalizi mapema kwasababu unashindana na mzoefu wa chama.Tusisingizie chochote Lissu kashindwa kwa haki
Lissu kashindwa vipi mkuu kwani huko kwenu matokeo tayari?
 
Shida mnaongozwa na mihemko kuliko uhalisia hao wajumbe ndio wanajua vizuri mbowe na Lissu, mbowe ana muda mrefu sana ameshatengeneza network ndani ya chama hawezi kuangushwa kiboya na ndio maana akaona atashinda ndio maana anaingia kwenye uchaguzi hakukurupuka, Lissu kapumbazwa na kelele za nje zaidi ndicho kimemuangusha kushinda uchaguzi unahitaji maandalizi mapema kwasababu unashindana na mzoefu wa chama.Tusisingizie chochote Lissu kashindwa kwa haki
Experience matters
 
Mwisho wa yote ni lazima idadi ya kura zote kwa ujumla wake za lissu + za mbowe zifanane na idadi ya Wajumbe 996, Otherwise au ikiwa kinyume maana yake uchaguzi huo ni batili
 
Back
Top Bottom