sportstore
JF-Expert Member
- Apr 5, 2023
- 497
- 1,769
mchuano mkali sana ila kwa haraka haraka Lema kapokea kura nyingi kuliko boni yai..Huenda lissu akashinda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najipoza na nini sasa?🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sawa weeeeeeeee njia nzuri kujipoza
Bado ni mapema kusema Lissu ameshindamchuano mkali sana ila kwa haraka haraka Lema kapokea kura nyingi kuliko boni yai..Huenda lissu akashinda
cocochanel soma hapo ni comment ya ngapi kwenye huu uzi na ni saa ngapiMimi nasubiri mwenyekiti yeyote atakaeshinda poa tu kikubwa ni CHADEMA.
Ntobi ni fala sana yaniDah siasa bana kwahiyo Leo hii TL sio Mtz
Bora hata ingekuwa unavosema, yaani Akina Lema wameona wanashindwa mbele za watuHaya mambo ya Kura za usiku Siyo ya kuamini Sana hasa kwa Siasa zetu za bongo na wizi wa Kura , Lisu inawezekana akawa mshindi lakini kuna nguvu kubwa ya Dola ya CCM na Fedha za Mbowe imetumika kuiba kura
chaneli gani wanaonesha?mchuano mkali sana ila kwa haraka haraka Lema kapokea kura nyingi kuliko boni yai..Huenda lissu akashinda
... nafasi wa wanaotoka zitazibwa haraka sana!CHADEMA wakimchagua Mbowe, wala hata Tundu Lissu hataweza kuzuia watu kuachana nao hata aseme nini
Unajua siasa za Chadema? Una ushahidi na unachoongea au Ni mihemko na mapenzi ulionao kwa Lissu?Akili mdogo utaelewaje?
Fedha za ccm zimetumika kuhonga,kununua wajumbe wampigie kura mbowe
Mbowe Big NO
Kelele za mtaani ndo hao wanachama ambao wanategemewa kwenye uchaguzi wa mwezi wa kumi. Huwezi kuwapuuza..binafsi ni mwanachama halali wa CHADEMA,siyo mjumbe wa huo uchaguzi,nlitamani lissu ashinde..asipo shinda automatically sito endelea na hicho chama..bora kura yangu niwape CCMShida mnaongozwa na mihemko kuliko uhalisia hao wajumbe ndio wanajua vizuri mbowe na Lissu, mbowe ana muda mrefu sana ameshatengeneza network ndani ya chama hawezi kuangushwa kiboya na ndio maana akaona atashinda ndio maana anaingia kwenye uchaguzi hakukurupuka, Lissu kapumbazwa na kelele za nje zaidi ndicho kimemuangusha kushinda uchaguzi unahitaji maandalizi mapema kwasababu unashindana na mzoefu wa chama.Tusisingizie chochote Lissu kashindwa kwa haki
Wapiga Kura wana bills za kulipaBado najiuliza hawa watu waliompigia kura Mbowe wametokea wapi?
Ni Watanzania wenzetu kweli?
Wanachama walifanya nini?Kama kiongozi alifanya nini baada ya kuporwa wabunge??
Ndio hivyo sasa kwakuwa wajumbe ndio wanapiga kura in the end sisi hatuna maamuzi ya mwisho.Mbowe Big NO
Tutaenda tu Man U inafungwa na bado tunaendelea kuiangalia tuWale ni viongozi waliowekwa na Mbowe .
Ni sawa na mawaziri kupiga kura dhidi ya Rais . Hawawezi kumwamini mwingine anayekuja .
Na pia wamechukulia kama mpira wa simba na Yanga . Yaani watu wa mbowe kushindwa kwao ni kudhalilika .Watu wa Lisu kushindwa kwao ni anguko la chama na chama kudhalilika .
Mbowe amejipanga ndani ya wajumbe ila akishinda chama kitaanguka na wananchi hawatawaelewa viongozi . Nadhani Serikali itatoa fedha kusidia shughuli za Chadema maana wananchi hata kwenye mikutano hastaenda.