Pre GE2025 Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Ni Mbowe au Lissu

  • Mbowe

    Votes: 179 14.7%
  • Lissu

    Votes: 1,038 85.3%

  • Total voters
    1,217
  • Poll closed .
Mkuu umeiyonaa hiyooo?!!! Watu wanataka mabadiliko yaanzie ndani ya chama ili kuleta uhalisia. Ila kumbuka mabadiliko yanatisha..
 

Attachments

  • Screenshot_20250121-110800.jpg
    181.1 KB · Views: 1
Mbowe yuko vizuri sana, hadi sasa wapiga kura wake wako kimyakimya. wanakamata mwizi men.
 
watu wa mbowe hawana mchecheto kama walivyo wa lisu.
wa mbowe wametulia kama alivyo mbowe
 
KUMBUKA PIA WAZANZIBAR WOTE 100% WATAMPIGIA MBOWE.Hawawezi kumpigia LISu ambaye aliwasema
 
Kwa ground hali ni tofauti kabisa ... mwamba anaibuka leo kidedea
Ground ya wapi hiyo wakati kila kitu sasa hivi kipo ukumbini na hao wajumbe nao wako ndani ya jengo la pembe nne na kauli hizo zinatoka ndani ya jengo hilo?

Au kuna mkutano mwingine wa jamaa wale "WASIOJULIKANA" wako ground somewhere wana u - remote mkutano wote na wajumbe in favour of Mbowe..?

This time mtajua tu kuwa kumbe yupo Mungu wa haki aliyeamua kuidhihirisha haki yake dhidi ya watoa rushwa..!!
 
nimejaribu kutafuta live updates pasina mafanikio mimi kama kijana ninaependa SIASA na kwa kuzingatia kauli ya mwenyekiti wa chama hicho akihojiwa na moja ya media alisema mkutano utakuwa live na hata huo uchaguzi utakuwa live hatua kwa hatua ili kusiwepo mkanganyiko baada ya uchaguzi juzi CHAMA TAWALA wameweka mambo yao hadharani na watanzania wameona kila hatua jambo ambalo limesaidia kuepusha sintofahamu baada ya mkutano ule kuamua kupitisha majina ya wagombea wao wajao kwa Bara na visiwani tafadhali kama kuna mahali pa kustream live tupeane updates watu tuone Demokrasia kama kweli imetawala au ni blah blah watu wanatoana nundu gizani
 
Aise ngoja tusubirieeee
Maana kura za mtandaoni lissu
Anamkimbiza mbowe
Ngoja tuone huko kwenye box πŸ˜„

Ova
Katiba ingeruhusu tukapiga kura huku ground mbowe angepata aibu ya karne!!.
 
azam kupitia itv channel
 
Zanzibar ni kaeneo kadogo sn ukilinganisha na bara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…