Upepo hausomeki maana Lema anahesabu kura kama hela vile na kuzifunga mafungu nafungu kama vibunda vya hela.π€£π€£
Ila mkao wa Boniyai kwenye kitu ni kama wakukata tamaa hivi unafanya mashabiki wahizi kama vile team Machame inaona kuna dalili mbaya.
Chadema ni kiikundi kisicho makini
Tundu hafai hata kuwa kiongozi wa Kaya.... yaani kama mume wa Abigail vile
1 Samweli 25:2-44
Na jina la mtu huyo aliitwa "Nabali; na jina la mkewe aliitwa Abigaili, na huyo mwanamke alikuwa mwenye akili njema, mzuri wa uso; bali yule mwanamume alikuwa hana adabu, tena mwovu katika matendo yake; naye alikuwa wa mbari ya Kalebu.
Ndipo hapo Abigaili alipomwona Daudi, alifanya haraka kushuka juu ya punda wake, akamwangukia Daudi kifulifuli, akainama mpaka nchi.
Nakusihi, bwana wangu, wewe usimwangalie huyu mtu asiyefaa, yaani, Nabali; kwa maana kama lilivyo jina lake ndivyo alivyo yeye; jina lake ndilo Nabali, na upumbavu anao; lakini mimi, mjakazi wako, sikuwaona hao vijana wa bwana wangu aliowatuma."
Mbowe amekomaa kiuongozi kwa level ya chadema lakini sio kwa kuongoza dola